KABHILABHIGHAMBO
JF-Expert Member
- Jan 15, 2017
- 223
- 113
Bashe ni miongoni mwa wabunge wa vvm walio na akili..... nafikiri jamaa alitaka amtoe ili asipinge bajeti ya viwanda vya machinga...du! @
cc. Lizaboni
cc. Lizaboni
Kazi imefanyika kwa asilimia 100. Japan chezea LizaboniYuko wapi MMBEA lizaboni
Ameshakatwa Mkia.Bashe ni miongoni mwa wabunge wa vvm walio na akili..... nafikiri jamaa alitaka amtoe ili asipinge bajeti ya viwanda vya machinga...du! @
cc. Lizaboni
Directed....!Salaam Wana Samunge worry not guys am ok nitaongea na kueleza kilichotokea na ukweli soon but sijafukuzwa wala kujadiliwa.
Mh. Hussein Bashe (Mb).
Lisa! Yule aliyeugua kichaa?CHADEMA kuna wabunge gani makini zaidi ya Lisu, Upendo na Mwita Waitara?
sema kweli mkuuAmeshakatwa Mkia.
Nita Sema kweli daimasema kweli mkuu
kamuulize mama ako! unamuuliza nanIvi huyo jamaa ni raia halali?
Ivi huyo jamaa ni raia halali?
kama ndo hivo basi nimeamini ccm hamtaki mtu anayesema kweli...mnataka mtu waNita Sema kweli daima
Ili uwe raia halali inabidi uwe na nidhamu ya woga au mdomo wenye glue?????? Inabidi uwe na pua kama kitumbua ndo uwe raia au inabidi uwe na rangi ya mpingo??? Tumechoka kusikia hii. Nchi hii siyo wa wabantu pekee kuna wengine tulikutwa humu kama wasonji, wabarbaig, wasandawi, wamasaai, wahima wa ngara na biharamulo, sasa tumeanza kuambiwa siyo raia wakati tumekuwa hapa zaidi ya miaka zaidi ya kalne 9 sasa nyinyi wakuja toka naigeria na senegal mmekuwa raia kuliko sisi? Soma history halafu rudi hapa.Ivi huyo jamaa ni raia halali?
Subiri jalada lake lifike meza kuu ataona pesa za yule wa 'siasa za maji taka' hazitakuwa na msaada.Bashe ndio mbunge pekee wa CCM aliye na ujasiri. Nafkiri ni kwa kuwa hana njaa sana
Acha ujinga kwani wewe ni raiaIvi huyo jamaa ni raia halali?
Apana kwa sababu ni Msomali na hawa ndugu zetu wana msimmamo.Bashe ndio mbunge pekee wa CCM aliye na ujasiri. Nafkiri ni kwa kuwa hana njaa sana