Mnondwe
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 4,013
- 3,672
Kazi imefanyika kwa asilimia 100. Japan chezea Lizaboni
Kazi imefanyika kwa asilimia 100. Japan chezea Lizaboni
Ivi huyo jamaa ni raia halali?
OF WHAT IMPORTANCE?Salaam Wana Samunge worry not guys am ok nitaongea na kueleza kilichotokea na ukweli soon but sijafukuzwa wala kujadiliwa.
Mh. Hussein Bashe (Mb).
Ivi huyo jamaa ni raia halali?
Soon mtamwita kamanda bila magwanda, CHADUMA Mnamatatizo
mimi pia mkuuNitakuwa wa mwisho kuamini kauli yako.
naungana na jamaa hapo juuKuwa mbunge makini sio lazima uwe CDM
Ni Lissu,Upendo na Waitara. Au hao sio Chadema?.CHADEMA kuna wabunge gani makini zaidi ya Lisu, Upendo na Mwita Waitara?
Kimsingi Bashe hana njaa kweli..huwezi kumfananisha na TuliaBashe ndio mbunge pekee wa CCM aliye na ujasiri. Nafkiri ni kwa kuwa hana njaa sana
Hapana sio raia halali ni mfuasi wa alshabaab waki ccm what can u do about it..Ivi huyo jamaa ni raia halali?
Kwani wewe ni RAIA halali?Ivi huyo jamaa ni raia halali?
Nooo!!! Wote ni wauza unga wa sembe tu huo ni mtazamo, wanashabikia unga nadhani ni kwa sababu wanautumiaCHADEMA kuna wabunge gani makini zaidi ya Lisu, Upendo na Mwita Waitara?
Akiendaa upinzani ataonekana Alshaabab, kwa sababu ya Rangi yake bora abaki CCM.Bashe CCM hakukufai,nenda kwa Makamanda CDM.