Bashe avua gamba

Status
Not open for further replies.
Bashe yure walie rudisha fomu kwa na bunduki na kigwangala.hapo hofisi ya maccm nzega.ambae sio laia tena aliambiwa 2010
 
bashe hawezi kukihama chama ambacho kimemlea toka akiwa na miaka 16 hata kidogo.
 
Dhambi na laana ya kula rambi rambi itakutafuna sana aisee

Kamanda huyu Chris lukosi dhambi na laana ya kula rambi rambi inamtafuna tayari...ukisema itamtafuna ukakosea aisee...huoni amekuwa mwehu...kila siku anawehuka wehuka.
 

Kwa akili hii, inabidi tu niamini kuwa CCM wametuloga Watanzania.
 
Last edited by a moderator:
Chadema kweli mmechanganyikiwa ibrahim mohamed bashe msomali huyu ndiye amejiunga Chadema sio Hussein bashe, a cheni ujinga
 
Ha ha ha !!huyu si ndiye mtumishi wa Rostam na rafiki yake sana ZZK??!!.Hebu tusishabikie upuuzi huu,wallah CDM msipokuwa makini mmekwisha??!!
 
Anakariibishwa as long as ni mtanzania, aje afuate taratibu za chama tusimamie na kujenga taifa letu
 
Uzushi mtupu,Mohamed Bashe ni CDM siku nyingi na uanachama wake upo kata ya Kiijitonyama mtaa wa mpakani A!hii ni kuweka mambo sawa maana kashiliki mikutano mingi tu na operation za Chama maarufu M4c.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…