Naambiwa mnafanya mikakati ya kumleta Davido...
Alikiba hayupo..yuko mombasa
ccm watwambie imekuaje huyu shishi baby maarufu kwajina au shilole alifungiwa na basata mwaka mzima (miezi 12 ) na wao wamemuita akatumbuize pale sasa maana yake nini ubabe au vipi?? au kwamb amri za basata hazipandi juu ya chama cha mapinduz?? wangekuwa ukawa ndo wamemuita aimbe daah ungesikia majungu yake
mkuu amri za BASATA mwisho wake ni kwenye magazeti, jangwan kila mtu ni shangwe za shishi beb, hahah Chama dola hicho mkuu hahah
Nenda hata leo ukadeki vyoo vya stand ya rwanda zuzu wewe
mkuu amri za BASATA mwisho wake ni kwenye magazeti, jangwan kila mtu ni shangwe za shishi beb, hahah Chama dola hicho mkuu hahah
CCM watwambie imekuaje huyu shishi baby maarufu kwajina au shilole alifungiwa na basata mwaka mzima (miezi 12 ) na wao wamemuita akatumbuize pale sasa maana yake nini ubabe au vipi?? au kwamb amri za basata hazipandi juu ya chama cha mapinduz?? Wangekuwa UKAWA ndo wamemuita aimbe daah ungesikia majungu yake