Basata ni taasisi huru iliyoundwa kwa mujibu wa katiba ya 1977 lakini inafanyakazi kwa uoga sana tena uliopindukia,Unafiki, kushinikizwa na watu fulani hawasimami kwenye majukumu yao. Hilo limedhirika baada ya msanii Ney the true boy kutoa ngoma ya 'wapo' inayoonyesha uozo uliopo ndani ya serikali hivyo waliamua kutumia dola ili kuzima uhalisia.
Ndugu zangu mwafaaaa