Watu wako biasharani wewe,mfano ngoma ikapata youtube ikawa na view 1M wote hao wamemuona huo video queen,bado kwenye tv,mapedeshee na mapapaa wanapanda bei,hizo nafasi zinatafutwa kwa uvumba hata mavai wanajigharamia,anaambiwa inatakiwa nguo ya aina fulani,mjini shule
Sent using
Jamii Forums mobile app