Barua za Habil ziko wapi?

I never even mentioned D9.

Yes me sitoki so nime focus na habil
Ndio bakia hapo na Habil sisi tumefocus na D9 hatutolewi mchezoni kizembe.. unatuletea maswali ya kiduanzi si ukamuulize aliekwambia mfuata huko kwenye liakaunti lake umuulize maswali yako atakujibu.. mnatupotezea focus tu mmetumwa?
 
ahaaaa kaongo mpaka basi na manyumbu yanamsikiliza aisee wabongo wajinga sana wanapenda uongo balaaa
 
ahaaaa kaongo mpaka basi na manyumbu yanamsikiliza aisee wabongo wajinga sana wanapenda uongo balaaa
Anasema ukweli lakini nataka atusaidie tuyanyonge ma ccm na mapolisi yao, akiweza hilo sitoacha kumsikiliza mi sitaki maneno nataka mtu anasaidia action zitokee.
 
Anasema ukeli lakini nataka atudaidie tuyanyonge ma ccm na mapolisi yao, akiweza hilo sitoacha kumsikiliza mi sitaki maneno nataka mtu anasaidia action zitokee.
mimi kuanzia kusema amehack BOT nikajua sound cause BOT mfumo wake upo monitered na makampuni 4 makubwa duniani , moja la israel, moja la silicon valley moja la hongkong na moja la south korea wanalipwa almost 30 B per year kusimamia bot wizara ya fedha, tra na bandari, yaani wote wanachunguza kitu kimoja
 
Jamaa ni MUONGO KUPITILIZA.

Hata mtu aliyefanya kazi ya Junior Systems Admin anajua jamaa anaongea upuuzi. Hana access wala control ya mfumo wowote.

Ila kwa sababu watu hawajasoma wanaamini chochote bila kuelewa.

Eti nilimpigia simu Chair wa DP World πŸ˜‚πŸ˜‚

Eti nimeandika barua meli za mizigo na ndege zisije nchini, na watu wanaitikia πŸ˜‚πŸ˜‚

Hivi si mnafahamu hizo kampuni zote zina World class risk departments?

Ndege bado zinaenda Venezuela ambapo mmarekani kasanction karibu kila kitu na yupo standby kuvamia nchi itakuwa Tanzania?

Akili za kuambiwa ……..
 
Nchi masikini hii tuwalipaje 30 b kufanya cyber security tu.

Na mbona bado tunaibiwa kama kweli wanalinda?

Bora kuwalipa mgambo wa jiji walinde kwa mshahara wa laki 2 kwa mweizi kuliko kuibiwa mara mbili?
 
upo sahihi kabisa halafu wale ni wafanyabiashara hawasikilizi upumbavu wa mitandoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…