Barua ya wazi kwa Paul Makonda

Relief Mirzska

JF-Expert Member
Jun 13, 2017
13,988
22,379
Mkuu,

Pole kwa majukumu na changamoto za uongozi.

Kwanza naomba ku-declare interest: Mimi ni kijana wa kiislam ambae Nina uelewa kiasi juu ya Uislam.

Hivi karibuni ulidhamiria kufanya kampeni ya kulisafisha jiji la Dar as salaam kuhusu suala zima la watu wanaojihusisha/wanaofanya mapenzi ya jinsia moja (mashoga). Napenda nikuhakikishie kuwa, ndani ya mioyo ya Watanzania wenye busara na akili na wenye kuitakia mema nchi yao ulipata uungwaji mkono wa hali ya juu. Mimi binafsi nilikaa nikawa nakuombea kwa Mungu akupe ujasiri wa kulifanikisha suala lile.

Mkuu, nataka nikuhakikishie na kukufariji kwamba wapo watu wakubwa na wenye busara zao ambao wanajua kwamba ulikuwa sahihi kuanzisha kampeni ile, sitaki kuwazungumzia maana mimi sio msemaji wao rasmi lakini amini usiamini kwamba kuanzia Mheshimiwa Mchungaji Peter Msigwa, Mheshimiwa Said Kubenea, Mheshimiwa Zitto Kabwe, Dk Bashir Ally, Baraza la wawakilishi la Zanzibar na kama sisi hohehahe tulikuwa pamoja na wewe.

Mkuu, suala hili lilikuwa na sura mbili na ni bahati mbaya sana kwamba umma wa wanasiasa wakalifanya ni suala la kisiasa. Wanasiasa hao walikuwa wakikuunga mkono ndani ya mioyo yao lakini kwa sababu hawakutaka kuwakasirisha ma-boss wao wakajitoa akili zao, wakajifanya hamnazo, wakakupinga au wakafurahia pale ulipopingwa hadharani.

Mkuu, katika suala hili la ushoga ujasiri wako hautosahaulika kamwe na Mimi binafsi mungu akinipa umri nitakuja kuhadithia ujasiri huu wajukuu zangu. Vile vile hatutakaa tuusahau ukasuku na unafiki wa wale waliokupinga katika hili, hatuna vya kuwafanya tunawatazama tu ila kiukweli thamani yao kwetu imeshuka.

Mkuu, kwa vile msingi mkubwa wa barua hii ni suala hili la ushoga, naomba tuishie katika suala hili japo zipo kampeni zako nyengine nyingi tu ambazo binafsi nilizikubali sana ila sikukubali njia ulizotumia kwenye kampeni hizo. Kampeni ya madawa ya kulevya, kampeni ya kutetea wanawake/ watoto waliotelekezwa na nyenginezo zilikuwa ni kampeni zenye nia njema lakini njia zilizotumika kufanya kampeni hizo nadhani hazikuwa sahihi. Kama hivyo ndivyo, basi nadhani ipo haja ukaangalia upya timu ya washauri wako.

Najua watatokea watakaonipinga, kunikebehi na kunitukana lakini Mwenyezi Mungu mtukufu kwenye kitabu chake cha qur an anasema " wala msichanganye haki na batili, mkaificha haki na hali mnajua (Qur an 2:42)" na Mimi nimeamua kukukumbusha na kukupongeza juu ya msimamo wako uliouchukua juu ya suala hili.

Mkuu, hata kama nchi hii haina dini, na msingi wa taratibu na kanuni za maisha ya Watanzania ni katiba zao, basi sihitaji kukukumbusha kuwa hiyo katiba ambayo wale waliokupinga "WALIAPA" kuilinda na kuitetea basi inakataa mambo ya ushoga ndani ya nchi hii ambayo mmoja wa waasisi wake alitangazwa kuwa "MTAKATIFU".

Kuna mengi ya kusema lakini kwa Leo naomba niishie hapa ili nikaribishe matusi na kejeli za wale wote wanaotetea ushoga.

Relief Mirzska.
 
Mkuu,

Pole kwa majukumu na changamoto za uongozi.

Kwanza naomba ku-declare interest: Mimi ni kijana wa kiislam ambae Nina uelewa kiasi juu ya Uislam.

Hivi karibuni ulidhamiria kufanya kampeni ya kulisafisha jiji la Dar as salaam kuhusu suala zima la watu wanaojihusisha/wanaofanya mapenzi ya jinsia moja (mashoga). Napenda nikuhakikishie kuwa, ndani ya mioyo ya Watanzania wenye busara na akili na wenye kuitakia mema nchi yao ulipata uungwaji mkono wa hali ya juu. Mimi binafsi nilikaa nikawa nakuombea kwa Mungu akupe ujasiri wa kulifanikisha suala lile.

Mkuu, nataka nikuhakikishie na kukufariji kwamba wapo watu wakubwa na wenye busara zao ambao wanajua kwamba ulikuwa sahihi kuanzisha kampeni ile, sitaki kuwazungumzia maana mimi sio msemaji wao rasmi lakini amini usiamini kwamba kuanzia Mheshimiwa Mchungaji Peter Msigwa, Mheshimiwa Said Kubenea, Mheshimiwa Zitto Kabwe, Dk Bashir Ally, Baraza la wawakilishi la Zanzibar na kama sisi hohehahe tulikuwa pamoja na wewe.

Mkuu, suala hili lilikuwa na sura mbili na ni bahati mbaya sana kwamba umma wa wanasiasa wakalifanya ni suala la kisiasa. Wanasiasa hao walikuwa wakikuunga mkono ndani ya mioyo yao lakini kwa sababu hawakutaka kuwakasirisha ma-boss wao wakajitoa akili zao, wakajifanya hamnazo, wakakupinga au wakafurahia pale ulipopingwa hadharani.

Mkuu, katika suala hili la ushoga ujasiri wako hautosahaulika kamwe na Mimi binafsi mungu akinipa umri nitakuja kuhadithia ujasiri huu wajukuu zangu. Vile vile hatutakaa tuusahau ukasuku na unafiki wa wale waliokupinga katika hili, hatuna vya kuwafanya tunawatazama tu ila kiukweli thamani yao kwetu imeshuka.

Mkuu, kwa vile msingi mkubwa wa barua hii ni suala hili la ushoga, naomba tuishie katika suala hili japo zipo kampeni zako nyengine nyingi tu ambazo binafsi nilizikubali sana ila sikukubali njia ulizotumia kwenye kampeni hizo. Kampeni ya madawa ya kulevya, kampeni ya kutetea wanawake/ watoto waliotelekezwa na nyenginezo zilikuwa ni kampeni zenye nia njema lakini njia zilizotumika kufanya kampeni hizo nadhani hazikuwa sahihi. Kama hivyo ndivyo, basi nadhani ipo haja ukaangalia upya timu ya washauri wako.

Najua watatokea watakaonipinga, kunikebehi na kunitukana lakini Mwenyezi Mungu mtukufu kwenye kitabu chake cha qur an anasema " wala msichanganye haki na batili, mkaificha haki na hali mnajua (Qur an 2:42)" na Mimi nimeamua kukukumbusha na kukupongeza juu ya msimamo wako uliouchukua juu ya suala hili.

Mkuu, hata kama nchi hii haina dini, na msingi wa taratibu na kanuni za maisha ya Watanzania ni katiba zao, basi sihitaji kukukumbusha kuwa hiyo katiba ambayo wale waliokupinga "WALIAPA" kuilinda na kuitetea basi inakataa mambo ya ushoga ndani ya nchi hii ambayo mmoja wa waasisi wake alitangazwa kuwa "MTAKATIFU".

Kuna mengi ya kusema lakini kwa Leo naomba niishie hapa ili nikaribishe matusi na kejeli za wale wote wanaotetea ushoga.

Relief Mirzska.
umesahau kumkumbusha yale makontena yake veepee
 
Mkuu,

Pole kwa majukumu na changamoto za uongozi.

Kwanza naomba ku-declare interest: Mimi ni kijana wa kiislam ambae Nina uelewa kiasi juu ya Uislam.

Hivi karibuni ulidhamiria kufanya kampeni ya kulisafisha jiji la Dar as salaam kuhusu suala zima la watu wanaojihusisha/wanaofanya mapenzi ya jinsia moja (mashoga). Napenda nikuhakikishie kuwa, ndani ya mioyo ya Watanzania wenye busara na akili na wenye kuitakia mema nchi yao ulipata uungwaji mkono wa hali ya juu. Mimi binafsi nilikaa nikawa nakuombea kwa Mungu akupe ujasiri wa kulifanikisha suala lile.

Mkuu, nataka nikuhakikishie na kukufariji kwamba wapo watu wakubwa na wenye busara zao ambao wanajua kwamba ulikuwa sahihi kuanzisha kampeni ile, sitaki kuwazungumzia maana mimi sio msemaji wao rasmi lakini amini usiamini kwamba kuanzia Mheshimiwa Mchungaji Peter Msigwa, Mheshimiwa Said Kubenea, Mheshimiwa Zitto Kabwe, Dk Bashir Ally, Baraza la wawakilishi la Zanzibar na kama sisi hohehahe tulikuwa pamoja na wewe.

Mkuu, suala hili lilikuwa na sura mbili na ni bahati mbaya sana kwamba umma wa wanasiasa wakalifanya ni suala la kisiasa. Wanasiasa hao walikuwa wakikuunga mkono ndani ya mioyo yao lakini kwa sababu hawakutaka kuwakasirisha ma-boss wao wakajitoa akili zao, wakajifanya hamnazo, wakakupinga au wakafurahia pale ulipopingwa hadharani.

Mkuu, katika suala hili la ushoga ujasiri wako hautosahaulika kamwe na Mimi binafsi mungu akinipa umri nitakuja kuhadithia ujasiri huu wajukuu zangu. Vile vile hatutakaa tuusahau ukasuku na unafiki wa wale waliokupinga katika hili, hatuna vya kuwafanya tunawatazama tu ila kiukweli thamani yao kwetu imeshuka.

Mkuu, kwa vile msingi mkubwa wa barua hii ni suala hili la ushoga, naomba tuishie katika suala hili japo zipo kampeni zako nyengine nyingi tu ambazo binafsi nilizikubali sana ila sikukubali njia ulizotumia kwenye kampeni hizo. Kampeni ya madawa ya kulevya, kampeni ya kutetea wanawake/ watoto waliotelekezwa na nyenginezo zilikuwa ni kampeni zenye nia njema lakini njia zilizotumika kufanya kampeni hizo nadhani hazikuwa sahihi. Kama hivyo ndivyo, basi nadhani ipo haja ukaangalia upya timu ya washauri wako.

Najua watatokea watakaonipinga, kunikebehi na kunitukana lakini Mwenyezi Mungu mtukufu kwenye kitabu chake cha qur an anasema " wala msichanganye haki na batili, mkaificha haki na hali mnajua (Qur an 2:42)" na Mimi nimeamua kukukumbusha na kukupongeza juu ya msimamo wako uliouchukua juu ya suala hili.

Mkuu, hata kama nchi hii haina dini, na msingi wa taratibu na kanuni za maisha ya Watanzania ni katiba zao, basi sihitaji kukukumbusha kuwa hiyo katiba ambayo wale waliokupinga "WALIAPA" kuilinda na kuitetea basi inakataa mambo ya ushoga ndani ya nchi hii ambayo mmoja wa waasisi wake alitangazwa kuwa "MTAKATIFU".

Kuna mengi ya kusema lakini kwa Leo naomba niishie hapa ili nikaribishe matusi na kejeli za wale wote wanaotetea ushoga.

Relief Mirzska.
Subiri Ufipa watoke Mikoroshoni usikie povu lao!
 
Huwezi kumzuia shoga aliyekomaa, yeye ajikite kwenye kuwashauri na kuwasisitizia wazazi na walezi wawalee watoto wa katika malezi yenye maadili mazuri ya kitanzania
Hapana mzee, moja ya weakness tulizonazo ni sheria legelege. Sheria zinatakiwa ziwe enforced. Hivi unajua why nchi za asia angalau zimeweza pambana na dawa za kulevya?? Waliamua kuweka sheria Kali na kusema "to he'll with human rights " wakikukamata wanakunyonga
 
Mwalim Nyerere ni saint kupitia kanisa katoliki, right??
Si kweli mkuu Mwalimu alipewa/yuko ktk mchakato wa heshima ya mwenyeheri na si utakatifu.

Mwenye heri ni jina la heshima analopewa Mkristo wa Kanisa Katoliki baada ya kufa na ya kufanyiwa kesi makini kuhusu sifa ya utakatifu alilonalo.
Kwa mfiadini inatosha kushuhudia kwa hakika kwamba aliuawa kwa ajili ya imani au adili lingine.
Kwa Wakatoliki wengine unatakiwa ushujaawa maadili yake yote, hasa yale ya Kimunguna maadili bawaba, sala na unyenyekevu.
Mwaka 2017 Papa Fransisko aliongeza uwezekano wa mtu kutangazwa mwenye heri kutokana na tendo la kishujaa la kuhatarisha uhai wake na kufupisha maisha yake kwa sababu ya upendo.
Njia hizo zote tatu zinatakiwa kuthibitishwa na muujiza mmoja uliofanywa na Mungu kwa maombezi ya mtumishi wake baada ya kifochake.
Asili ya hatua hiyo ni karne XIV ambapo Papaalianza kukubali marehemu aheshimiwe kwa namna ya pekee mahali fulani au katika shirika fulani kabla kesi ya kumtangaza mtakatifu kwa Kanisa lote haijakamilika.
 
Si kweli mkuu Mwalimu alipewa heshima ya mwenyeheri na si utakatifu.

Mwenye heri ni jina la heshima analopewa Mkristo wa Kanisa Katoliki baada ya kufa na ya kufanyiwa kesi makini kuhusu sifa ya utakatifu alilonalo.
Kwa mfiadini inatosha kushuhudia kwa hakika kwamba aliuawa kwa ajili ya imani au adili lingine.
Kwa Wakatoliki wengine unatakiwa ushujaawa maadili yake yote, hasa yale ya Kimunguna maadili bawaba, sala na unyenyekevu.
Mwaka 2017 Papa Fransisko aliongeza uwezekano wa mtu kutangazwa mwenye heri kutokana na tendo la kishujaa la kuhatarisha uhai wake na kufupisha maisha yake kwa sababu ya upendo.
Njia hizo zote tatu zinatakiwa kuthibitishwa na muujiza mmoja uliofanywa na Mungu kwa maombezi ya mtumishi wake baada ya kifochake.
Asili ya hatua hiyo ni karne XIV ambapo Papaalianza kukubali marehemu aheshimiwe kwa namna ya pekee mahali fulani au katika shirika fulani kabla kesi ya kumtangaza mtakatifu kwa Kanisa lote haijakamilika.
Ahsante mkuu kwa marekebisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom