COURTESY
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 2,006
- 706
CCM wameshindwa na wamekiuka miiko ya uongozi na misingi ya taifa hili, ccm ni lazima iondoke na nilazima ife, huku ndio kupona kwa Tanzania.
Na sasa hivi wamegundua siku zao zinahesabika,hivyo wanakula kadiri ya uwezo wao
wanahakikisha kila mtu anachukua chake before its too late, hakika wananchi wa sasa sio kama wale
wa miaka ile,hayo yatadhibitika uchaguzi wa 2015,hawata amini kitakachotokea hawa ccm!