Barua ya wazi kwa Dr Slaa Part 1 + 2 kuelekea 2015

sijakata tamaa ila tulimpata kiongozi kama Papa France I nadhani hata dodoma tuta hamia ila jamani pamoja na mjukumu mazito yanayo fanywa na CDM kwa kuikumbusha serikali kwa maneno nadhani sasa kuna haja ya kufanya kwa matendo kwa mfano tikianza na kufuatilia mambo yoye ambayo hayajachukuliwa hatua na serilali ina faa sasa tuyafuatolie na tijue hatima yake nita elrza machache kama vile suala la madawati kwenye mashule,pili watu wanaojenga hoteli bila kuzingatia sheria za ardhi mfano malaika hoteli mwanza mie nasikia tu muwekezaji kakouka sheri lakini mpaka dakika hii hakuna hatua yeyote.sasa Tanzania mpaka lini tuishia kutoa maagizo tu?
 
Mh. Rais 2015,

......Angalia philosophy ya Waren Buffett utajua nina maana gani, lakini zaidi siyo kila mtu ni mchumi kwahiyo unaona bora uende ununue shares ambazo ziko listed;

Pili hakuna investment vehicles za kutosha iko hiyo unit trust lakini imekaa nafikiri watu hawajawaelewa strategies zao, we need hizi zaidi lakini hata tuone if we can do something kwenye private equity funds ili ku stimulate uchumi, hapa serikali inaweza kusaidia kwa kusukuma through Quantitative easing!

Watu wabuni miradi wasimamiwe serikali inunue shares watu waende mbele, mfano hiyo UDA ya mafisadi inaweza kulistiwa watu wakawekeza huko wakaachana na daladala, kunavitu vingi sana, uchumi hautaenda kabisa, anyway hii p[ost ya kwanza hebu nione kwanza then tutaendeleza mada, ni ndefu sana.


Tafadhali saidia tusiobobea kwenye Economics Mkuu:

a) Investment vehicles ni kitu gani?

b) Private equity funds nazo ndo nini? na zinafanya kazi kivipi?

c) Na Quantitative Easing inaweza kufanyikaje?
 
mbona hata nyie hakitajwa lowasa mnaweweseka?

kwanza kuwa na adabu kidogo mtu mwenyewe mgonjwa halafu atajwe watu waweweseke kwa kipi hana jipya nadhani mngemtibu kwanza kwani siyo vema kuendelea kutumia mchezaji majeruhi
 
Dr.W.Slaa sitaki kupingana nawewe ninaamini katika elimu yangu hii ya upe niliyoipata enzi hizo njia zipo nyingi sana za kuwapata wanachama wapya, ila kama tukishikilia njia moja ya kuwapata wanachama inaweza isitusaidie sana, nilidhani hata inaweza kuwa njia ya kuwavuta watu kwa mazuri tuliyokwisha kuyafanya.

Ahsante

Sijakuelewa...Dr anasisitiza utoaji elimu ya uraia na kufungua matawi mapya kila kona...wewe unazungumzia mema kwani cdm ilishashika dola?. Nguvu ya matawi na mashina ndo mbinu muafaka kuitoa ccm madarakani, hili ni bayana kwao,kwani hawana la kuwaeleza wananchi hivi sasa...tuwatie moyo viongozi hasa wilayani kufungua mashina kila kona ya miji na vijiji.
 
CHADEMA NI MPANGO WA MUNGU DR.SLAA NI CHAGUO LA WATANZANIA hvyo bas hakuna na hatatokea mtu atakayeweza kushindana na mapango wa mungu.......! tulianza na mungu tutamaliza na mungu cha msing ni kuendelea kuwaelimisha wananch hasa wavijijin kupita M4C na oparation nyingne kama hzo....!
 
Wafuata upepo wanachekesha sana mwenzao kapewa za uso wamemgeuka wakati walisha anza kumsifia.Ndo maana nawapendaga Wambulu hawajui masifa
 
dr heshima kuu kwako... Naomba kukuuliza maswali machache...

1. Viongozi kadhaa wa bavicha walikutuhumu wewe moja kwa moja kuwa unaligawa bavicha na kuwanyima baadhi yao fursa ya kukijenga chama, badala ya kuwasikiliza na kuwaelimisha hukuwahi kufafanua hili hadi wengine wakafukuzwa kwenye chama wengine wakajiondoa wao...
2. Katika kipindi cha hivi karibuni wanachama na viongozi kadhaa wa chama maeneo mbalimbali ya nchi wanakihama chama huku wakikituhumu kuwa kinakumbatia ubaguzi.
3. Wewe personally unakuwa mtamu kuongea lakini wengi unaopata kufanya nao kazi wanakulaumu kwa mambo kadhaa ikiwamo udikteta..
4...video ya lwakatare imetokaje kwenye chama? Ni hayo tu.
Nadhani Dr ( padri) Slaa atalazimika kujibu hapa hadharani tumuelewe ana mlengo gani.
 
Mh. Rais 2015,

Utakapo ingia madarakani ukumbuke nchi ni maskini na ufanye mapinduzi ya kiuchumi ili kila mtanzania aone naye anastahili maisha mazuri. Umaskini kwa sasa siyo vijijini tu hata mjini hali ni hiyo hiyo, lakini zaidi sana Mkuu angalia je ni kweli watanzania hawawezi kuwekeza ndani ya nchi yao? na kuleta maendeleo yao kwa msaada wa serikali?

Mimi nimefanya utafiti kidogo na nimeona yafuatayo:

Kwanza shares zote DSE zinauzwa bei ya juu ya thamani halisi yaani NAV ( Net asset value), maana ni kwamba watu wana mitaji lakini they cannot put anywhere wanabaki kugombania hisa zilizopo chache, na wengine sasa wanaishia kununua madaladala na baada ya mwaka mmoja wanaishiwa kwasababu hawakujua wanafanya nini.

Angalia philosophy ya Waren Buffett utajua nina maana gani, lakini zaidi siyo kila mtu ni mchumi kwahiyo unaona bora uende ununue shares ambazo ziko listed;

Pili hakuna investment vehicles za kutosha iko hiyo unit trust lakini imekaa nafikiri watu hawajawaelewa strategies zao, we need hizi zaidi lakini hata tuone if we can do something kwenye private equity funds ili ku stimulate uchumi, hapa serikali inaweza kusaidia kwa kusukuma through Quantitative easing!

Watu wabuni miradi wasimamiwe serikali inunue shares watu waende mbele, mfano hiyo UDA ya mafisadi inaweza kulistiwa watu wakawekeza huko wakaachana na daladala, kunavitu vingi sana, uchumi hautaenda kabisa, anyway hii p[ost ya kwanza hebu nione kwanza then tutaendeleza mada, ni ndefu sana.

Yeye mwenyewe hajui nini maana ya uchumi,ndio maana anadiriki kuwadanganya watu kuwa atashusha mbolea hadi elfu tano,tabu kweli kweli
 
Yeye mwenyewe hajui nini maana ya uchumi,ndio maana anadiriki kuwadanganya watu kuwa atashusha mbolea hadi elfu tano,tabu kweli kweli

Na miaka miwili baadae serikali ya ccm na wanaccm wanaojua uchumi wanakiri kwamba sasa ni lazima serikali ishushe bei ya vifaa vya ujenzi na mbolea ili kuwawezesha watanzania kujenga makazi bora na kilimo chenye tija.

Bahati mbaya watu wachache wenye vichwa vibovu kama wewe wanajaribu kupingana na ukweli uliodhahiri kama huu.
 
Mh. Rais 2015,

Utakapo ingia madarakani ukumbuke nchi ni maskini na ufanye mapinduzi ya kiuchumi ili kila mtanzania aone naye anastahili maisha mazuri. Umaskini kwa sasa siyo vijijini tu hata mjini hali ni hiyo hiyo, lakini zaidi sana Mkuu angalia je ni kweli watanzania hawawezi kuwekeza ndani ya nchi yao? na kuleta maendeleo yao kwa msaada wa serikali?

Mimi nimefanya utafiti kidogo na nimeona yafuatayo:

Kwanza shares zote DSE zinauzwa bei ya juu ya thamani halisi yaani NAV ( Net asset value), maana ni kwamba watu wana mitaji lakini they cannot put anywhere wanabaki kugombania hisa zilizopo chache, na wengine sasa wanaishia kununua madaladala na baada ya mwaka mmoja wanaishiwa kwasababu hawakujua wanafanya nini.

Angalia philosophy ya Waren Buffett utajua nina maana gani, lakini zaidi siyo kila mtu ni mchumi kwahiyo unaona bora uende ununue shares ambazo ziko listed;

Pili hakuna investment vehicles za kutosha iko hiyo unit trust lakini imekaa nafikiri watu hawajawaelewa strategies zao, we need hizi zaidi lakini hata tuone if we can do something kwenye private equity funds ili ku stimulate uchumi, hapa serikali inaweza kusaidia kwa kusukuma through Quantitative easing!

Watu wabuni miradi wasimamiwe serikali inunue shares watu waende mbele, mfano hiyo UDA ya mafisadi inaweza kulistiwa watu wakawekeza huko wakaachana na daladala, kunavitu vingi sana, uchumi hautaenda kabisa, anyway hii p[ost ya kwanza hebu nione kwanza then tutaendeleza mada, ni ndefu sana.

Siyo vibaya kufikiria kwa jinsi unavyoona,ila kumbuka mchakato wa kumpata rais unahusisha watu wengi kutoka vyama mbali mbali waliojiandaa vilivyo ili kushinda kinyanganyiro hicho. Ili ndoto yako na ya watanzania wengi itimie kwa @Dk.w.slaa kuingia ikulu fanya kazi ya kutoa elimu ya uraia kwa watanzania wengi kwa kadiri uwezavyo,
 
Hivi Slaa ametangaza kuwa yeye ndio ataiwakilisha cdm? Naona anaongea utasema amepata baraka za chama.
 
Mpelekeni mahakamani kuandika hapa haitusaidii kitu zaidi ya unafiki tu. Be a man or woman stop being coward just take him to court.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom