Barua ya wazi kwa Dr Slaa Part 1 + 2 kuelekea 2015

kibai

JF-Expert Member
Jan 31, 2012
202
52
Mh. Rais 2015,

Utakapo ingia madarakani ukumbuke nchi ni maskini na ufanye mapinduzi ya kiuchumi ili kila mtanzania aone naye anastahili maisha mazuri. Umaskini kwa sasa siyo vijijini tu hata mjini hali ni hiyo hiyo, lakini zaidi sana Mkuu angalia je ni kweli watanzania hawawezi kuwekeza ndani ya nchi yao? na kuleta maendeleo yao kwa msaada wa serikali?

Mimi nimefanya utafiti kidogo na nimeona yafuatayo:

Kwanza shares zote DSE zinauzwa bei ya juu ya thamani halisi yaani NAV ( Net asset value), maana ni kwamba watu wana mitaji lakini they cannot put anywhere wanabaki kugombania hisa zilizopo chache, na wengine sasa wanaishia kununua madaladala na baada ya mwaka mmoja wanaishiwa kwasababu hawakujua wanafanya nini.

Angalia philosophy ya Waren Buffett utajua nina maana gani, lakini zaidi siyo kila mtu ni mchumi kwahiyo unaona bora uende ununue shares ambazo ziko listed;

Pili hakuna investment vehicles za kutosha iko hiyo unit trust lakini imekaa nafikiri watu hawajawaelewa strategies zao, we need hizi zaidi lakini hata tuone if we can do something kwenye private equity funds ili ku stimulate uchumi, hapa serikali inaweza kusaidia kwa kusukuma through Quantitative easing!

Watu wabuni miradi wasimamiwe serikali inunue shares watu waende mbele, mfano hiyo UDA ya mafisadi inaweza kulistiwa watu wakawekeza huko wakaachana na daladala, kunavitu vingi sana, uchumi hautaenda kabisa, anyway hii p[ost ya kwanza hebu nione kwanza then tutaendeleza mada, ni ndefu sana.
 
Muono wako ni mzuri na vema ukamalizia ili tukuelewe zaidi nasi tuchangiapo tupate wigo mpana wa uchambuzi.
 
Mawazo yako si mabaya. Kosa kubwa ulilofanya ni kujipa uhakika wa asilimia 100 kuwa Dr Slaa ndiye atakayekuwa rais mpaka unamwandikia barua ya wazi. Kwanza mpaka sasa hatujajua kama atagombea yeye. Lakini pamoja na hayo, kiswahili ni lugha tamu sana katika kuongea na adhimu yenye ladha, unaweza kuwa unajua kiingereza pia likini si lazima watu wote wajue kuwa unajua. Thread yako ungeiandika kiswahili tu, ingependeza zaidi. Pia kichwa kiwe 'barua ya wazi kwa rais wa awamu ijayo'
 
Hivi wewe Kingxvi Dr Slaa akitajwa tu,kitu cha kwanza kinakuja kwenye ubongo ni upadre na kuacha mke wake.

Post zako zinaboa. Utafikiri wewe ndiye uliachwa au we ndiwe Rose Kamili nini?
 
Mh. Rais 2015,
Utakapo ingia madarakani ukumbuke nchi ni maskini na ufanye mapinduzi ya kiuchumi ili kila mtanzania aone naye anastahili maisha mazuri. Umaskini kwa sasa siyo vijijini tu hata mjini hali ni hiyo hiyo, lakini zaidi sana Mkuu angalia je ni kweli watanzania hawawezi kuwekeza ndani ya nchi yao? na kuleta maendeleo yao kwa msaada wa serikali?
mimi nimefanya utafiti kidogo na nimeona yafuatayo:
kwanza shares zote DSE zinauzwa bei ya juu ya thamani halisi yaani NAV ( Net asset value), maana ni kwamba watu wana mitaji lakini they cannot put anywhere wanabaki kugombania hisa zilizopo chache, na wengine sasa wanaishia kununua madaladala na baada ya mwaka mmoja wanaishiwa kwasababu hawakujua wanafanya nini, angalia philosophy ya Waren Buffett utajua nina maana gani, lakini zaidi siyo kila mtu ni mchumi kwahiyo unaona bora uende ununue shares ambazo ziko listed;
pili hakuna investment vehicles za kutosha iko hiyo unit trust lakini imekaa nafikiri watu hawajawaelewa strategies zao, we need hizi zaidi lakini hata tuone if we can do something kwenye private equity funds ili ku stimulate uchumi, hapa serikali inaweza kusaidia kwa kusukuma through Quantitative easing! watu wabuni miradi wasimamiwe serikali inunue shares watu waende mbele, mfano hiyo UDA ya mafisadi inaweza kulistiwa watu wakawekeza huko wakaachana na daladala, kunavitu vingi sana, uchumi hautaenda kabisa, anyway hii p[ost ya kwanza hebu nione kwanza then tutaendeleza mada, ni ndefu sana.


Mpendwa be realistic, hata Slaa anakushangaa,

Hawezi kuwa rais 2015! never stop dreaming

Kama unataka awe rais, basi hakikisha chadema wanajitayarisha kwa hilo.....hakikisha wanatekeleza sera yao ya nyumba tano tanona kuimarisha mikoani hasa vijijini

uchaguzi uliopita vituo vingi hawakusimamisha wagombea, hawakuwa na wawakilishi kwenye vituo vya kuhesabia kura. Leo unaota kuwa atakuwa rais..akiwa rais nahama nchi hii
 
Inaonekana Jina la DR SLAA linawakosesha maadui wake usingizi; Dr Slaa ana nguvu kama umeme! Akitajwa tu maadui wake wanapepesuka mithili ya wanawake waliopagawa na pepo wachafu walisikiapo jina la Yesu!! Hoja iliyoletwa kwa majadiliano inaachwa na baadala yake watu wanaishia kubishana na kutukanana!
 
Mh. Rais 2015,

Utakapo ingia madarakani ukumbuke nchi ni maskini na ufanye mapinduzi ya kiuchumi ili kila mtanzania aone naye anastahili maisha mazuri. Umaskini kwa sasa siyo vijijini tu hata mjini hali ni hiyo hiyo, lakini zaidi sana Mkuu angalia je ni kweli watanzania hawawezi kuwekeza ndani ya nchi yao? na kuleta maendeleo yao kwa msaada wa serikali?

Mimi nimefanya utafiti kidogo na nimeona yafuatayo:

Kwanza shares zote DSE zinauzwa bei ya juu ya thamani halisi yaani NAV ( Net asset value), maana ni kwamba watu wana mitaji lakini they cannot put anywhere wanabaki kugombania hisa zilizopo chache, na wengine sasa wanaishia kununua madaladala na baada ya mwaka mmoja wanaishiwa kwasababu hawakujua wanafanya nini.

Angalia philosophy ya Waren Buffett utajua nina maana gani, lakini zaidi siyo kila mtu ni mchumi kwahiyo unaona bora uende ununue shares ambazo ziko listed;

Pili hakuna investment vehicles za kutosha iko hiyo unit trust lakini imekaa nafikiri watu hawajawaelewa strategies zao, we need hizi zaidi lakini hata tuone if we can do something kwenye private equity funds ili ku stimulate uchumi, hapa serikali inaweza kusaidia kwa kusukuma through Quantitative easing!

Watu wabuni miradi wasimamiwe serikali inunue shares watu waende mbele, mfano hiyo UDA ya mafisadi inaweza kulistiwa watu wakawekeza huko wakaachana na daladala, kunavitu vingi sana, uchumi hautaenda kabisa, anyway hii p[ost ya kwanza hebu nione kwanza then tutaendeleza mada, ni ndefu sana.
Nimependa analyisis yako ya uwekezaji kwenye secondary equity market. Lakini inabidi kwanza uangalie, ni makampuni mangapi tanzania yapo listed DSE? Watu wana knowledge ya kutosha kuhusu secondary or primary market ya shares?

Pia hili suala lako umeliadress kwa wrong person. Kama wote tunavyofahamu, Slaa ni Padre by profession. Haya mambo ya Financing na Investing atayajulia wapi? Mbaya zaidi unamuadress yeye kama rais..what the hell..danm!
 
Ni kosa kubwa, na ni dhambi mbaya sana kusema Nchi hii ni Maskini. Tunaweza kupigwa pigo la ajabu ni Mungu. Tanzania ni nchi tajiri, yenye rasilimali ya kila aina. Tatizo la Tanzinia ni kukosa viongozi wenye dhamira ya dhati, kwa kuleta mapinduzi ya kiuchumi. Rais tuliyenaye ni mtu asiye na Vision, hana huruma kwa wananchi wake zaidi ya kuwatumikia mafisadi. Bila Dr. Slaa kuingia Ikulu watanzania tutaendelea kulia na kusaga meno. Jk siyo rais. Jamani ujuha ni mbaya sana.
 
Mawazo yako si mabaya. Kosa kubwa ulilofanya ni kujipa uhakika wa asilimia 100 kuwa Dr Slaa ndiye atakayekuwa rais mpaka unamwandikia barua ya wazi. Kwanza mpaka sasa hatujajua kama atagombea yeye. Lakini pamoja na hayo, kiswahili ni lugha tamu sana katika kuongea na adhimu yenye ladha, unaweza kuwa unajua kiingereza pia likini si lazima watu wote wajue kuwa unajua. Thread yako ungeiandika kiswahili tu, ingependeza zaidi. Pia kichwa kiwe 'barua ya wa zi kwa rais wa awamu ijayo'
Kweli kiswahili ni lugha tamu sana katika kuongea lakini mtoa mada hakuongea lakini ameandika!! pili sina uhakikakuwa hapo kwenye red ni Kiswahili. je wewe unaujalije uadhimu wa kishwahili?
 
asante ndugu kwa barua yako inayolenga kutatua matatizo na kuelekeza njia ya mafanikio,kwa kuwa Tanzania ina misingi ya demokrasia sina hakika kama rais kashapitishwa ila ushauri wako ni muhimu,pia naongezea msitari1 kuwa rais ajaye afute mikataba ya madini tuanze upya,tufanye investment analysis ya madini yetu...
 
Inaonekana Jina la DR SLAA linawakosesha maadui wake usingizi; Dr Slaa ana nguvu kama umeme! Akitajwa tu maadui wake wanapepesuka mithili ya wanawake waliopagawa na pepo wachafu walisikiapo jina la Yesu!! Hoja iliyoletwa kwa majadiliano inaachwa na baadala yake watu wanaishia kubishana na kutukanana!

mbona hata nyie hakitajwa lowasa mnaweweseka?
 
Mpendwa be realistic, hata Slaa anakushangaa,

Hawezi kuwa rais 2015! never stop dreaming

Kama unataka awe rais, basi hakikisha chadema wanajitayarisha kwa hilo.....hakikisha wanatekeleza sera yao ya nyumba tano tanona kuimarisha mikoani hasa vijijini

uchaguzi uliopita vituo vingi hawakusimamisha wagombea, hawakuwa na wawakilishi kwenye vituo vya kuhesabia kura. Leo unaota kuwa atakuwa rais..akiwa rais nahama nchi hii
Be careful na maneno yako,angalia usije ukahama kweli,we huoni mambo yanavyobadilika au we mwenzetu steve wonder hauoni?????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom