kibai
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 202
- 52
Mh. Rais 2015,
Utakapo ingia madarakani ukumbuke nchi ni maskini na ufanye mapinduzi ya kiuchumi ili kila mtanzania aone naye anastahili maisha mazuri. Umaskini kwa sasa siyo vijijini tu hata mjini hali ni hiyo hiyo, lakini zaidi sana Mkuu angalia je ni kweli watanzania hawawezi kuwekeza ndani ya nchi yao? na kuleta maendeleo yao kwa msaada wa serikali?
Mimi nimefanya utafiti kidogo na nimeona yafuatayo:
Kwanza shares zote DSE zinauzwa bei ya juu ya thamani halisi yaani NAV ( Net asset value), maana ni kwamba watu wana mitaji lakini they cannot put anywhere wanabaki kugombania hisa zilizopo chache, na wengine sasa wanaishia kununua madaladala na baada ya mwaka mmoja wanaishiwa kwasababu hawakujua wanafanya nini.
Angalia philosophy ya Waren Buffett utajua nina maana gani, lakini zaidi siyo kila mtu ni mchumi kwahiyo unaona bora uende ununue shares ambazo ziko listed;
Pili hakuna investment vehicles za kutosha iko hiyo unit trust lakini imekaa nafikiri watu hawajawaelewa strategies zao, we need hizi zaidi lakini hata tuone if we can do something kwenye private equity funds ili ku stimulate uchumi, hapa serikali inaweza kusaidia kwa kusukuma through Quantitative easing!
Watu wabuni miradi wasimamiwe serikali inunue shares watu waende mbele, mfano hiyo UDA ya mafisadi inaweza kulistiwa watu wakawekeza huko wakaachana na daladala, kunavitu vingi sana, uchumi hautaenda kabisa, anyway hii p[ost ya kwanza hebu nione kwanza then tutaendeleza mada, ni ndefu sana.
Utakapo ingia madarakani ukumbuke nchi ni maskini na ufanye mapinduzi ya kiuchumi ili kila mtanzania aone naye anastahili maisha mazuri. Umaskini kwa sasa siyo vijijini tu hata mjini hali ni hiyo hiyo, lakini zaidi sana Mkuu angalia je ni kweli watanzania hawawezi kuwekeza ndani ya nchi yao? na kuleta maendeleo yao kwa msaada wa serikali?
Mimi nimefanya utafiti kidogo na nimeona yafuatayo:
Kwanza shares zote DSE zinauzwa bei ya juu ya thamani halisi yaani NAV ( Net asset value), maana ni kwamba watu wana mitaji lakini they cannot put anywhere wanabaki kugombania hisa zilizopo chache, na wengine sasa wanaishia kununua madaladala na baada ya mwaka mmoja wanaishiwa kwasababu hawakujua wanafanya nini.
Angalia philosophy ya Waren Buffett utajua nina maana gani, lakini zaidi siyo kila mtu ni mchumi kwahiyo unaona bora uende ununue shares ambazo ziko listed;
Pili hakuna investment vehicles za kutosha iko hiyo unit trust lakini imekaa nafikiri watu hawajawaelewa strategies zao, we need hizi zaidi lakini hata tuone if we can do something kwenye private equity funds ili ku stimulate uchumi, hapa serikali inaweza kusaidia kwa kusukuma through Quantitative easing!
Watu wabuni miradi wasimamiwe serikali inunue shares watu waende mbele, mfano hiyo UDA ya mafisadi inaweza kulistiwa watu wakawekeza huko wakaachana na daladala, kunavitu vingi sana, uchumi hautaenda kabisa, anyway hii p[ost ya kwanza hebu nione kwanza then tutaendeleza mada, ni ndefu sana.