Kwa sasa hakuna chama kinaitwa NCCR
Kipe jina mkuu...maana mwenye nacho amepigwa bei
Kwa sasa hakuna chama kinaitwa NCCR
Shigongo huyu huyu ninayemjua ama mwingine? huyu msanii wa udaku ndio leo ana uchungu na NCCR?! au anataka watoto wa kitanzania waendelee kuwa wajinga ili soko la majarida yake fake ya udaku liendelee kuwepo?! basi amekosea kwani Tanzania inazaliwa upya coming general election 2015, soko katafute kwingine
Mbati ni sawa na sikio l kufa halisikii dawaBaada ya lipumba na dr slaa kushindwa mnamgeukia mbatia
Kipe jina mkuu...maana mwenye nacho amepigwa bei
My Take :
Naona kama kuna ukweli hivi
My Take :
Naona kama kuna ukweli hivi
Anadai ameokoka ila ana wanawake kibao nje..tuanzie hapo kwanza yeye shigon msafi?