bbwaoy
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 466
- 468
Mi huwa naacha kazi inapo fika stage nime kata tamaa nayo... sipati ule uchangamfu waku fanya kazi , ule usemi wa " Its blue monday, back to work" huwa umefika kikomo hapo ndio huwa naamua kukaa chini naku draft barua yangu yaku resign.
2. Sipendi kuburuzwa buruzwa kazini kama vile sija enda shule. The moment niki hisi na napelekeshwa ... cha busara sana nta vumilia kidogo sana , sana. Niki shindwa hapo basi huwa ni muda mwafaka waku draft barua yaku resign.
3. Mshahara mdogo... ntafanya kwa mshahara mdogo endapo tu niki pata green light kuna dili 2 , 3 zina weza kukupa hela ya ziada kazini.
2. Sipendi kuburuzwa buruzwa kazini kama vile sija enda shule. The moment niki hisi na napelekeshwa ... cha busara sana nta vumilia kidogo sana , sana. Niki shindwa hapo basi huwa ni muda mwafaka waku draft barua yaku resign.
3. Mshahara mdogo... ntafanya kwa mshahara mdogo endapo tu niki pata green light kuna dili 2 , 3 zina weza kukupa hela ya ziada kazini.