Habari za leo wandugu, naomba kuuliza hivi hizi barua za kujitolea zikishaandikwa unapotaka kupeleka katika ofisi/Kampuni huwa inatakiwa imfikie nani HR au MANAGER!? Ili nipate majibu na uakika wa kupata kazi hiyo ya kujitolea na ninapopeleka je napeleka na vyeti na CV zangu au barua tu pekeyake?