Barua kwako Eric wa CCM

Barua kwako Eric wa CCM

Na bado atalia sana, baba tiffa aliliaga kipindi mh mmoja pale mjengon amepeleka mswada kuhusu kazi za wasani, afu ukawekwa kapuni, lakn mwaka jana baba tiffa ndo alikuwa kinara wa kukata mauno jukwaani na huyu nae analia kule kwetu kuna msemo unasema "embwa ke'etakaile mkila teluga omu maiga" yaaan mbwa kama hajaungua mkia hawezi toka kwenye mfiga, msimu wa baridi mbwa wanapenda kukaa karibu na mafiga vijijin. Sasa naona mkia wa jamaaa unaungua taratiiiii...........buu
 
Rudi Tu Kachunge Ng'ombe Boss, Na Magazeti Ukauzie Vitumbua.

Tuliwaambia Namba mtaanza zisoma nyie wenyewe, ila angalau wewe utasaidiana kuzisoma na OFM.
OFM hii imevunja ndoa na kuharibu maisha ya watu wengi sana. CCM hawa hawa walikuwa wanamkingia kifua. Eti mwanamke anakuwa amelala guest yuko peke yake anapigwa picha kesho front page: Jimama Lanaswa Kwenye Mtego Laivu Sinza. Mama wa watu ukimwangalia hana mbele wala nyuma. Alijua maisha ya hawa watu yalikuwaje baada ya kuwaanika hivyo? Eti mlokole tena mzee wa kanisa wakati mwenyewe anamiliki kiota cha zinaa na ngono huko Mbagala (Dar Live). Unafiki mtupu!

Wakati wa kukwepa kodi na kubebwa umeshapita. Na akileta za kuleta CCM wavifungie vigazeti vyake uchwara ajikite kwenye motivationall speaking. Malipo ni hapa hapa duniani kudadadeki!
 
Nikiwa na mamaa kwenye hotel sijui yake au ya mke wake chumba kilikuwa hamsini na tano elfu, pale mkabala na ambiance Africa sana, ki ukweli kufirisika mjanja mjanja kama huyu wa kisukuma ni ngumu isipokuwa anatafuta huruma na kick, na kumbuka kwa wafanyabiashara hela yao yoyote kuwa nje ni pigo kubwa sana wataidai mpaka mwisho
Usitishwe na hili mkuu. Utashangaa hoteli yote ile ni hela ya mkopo. Kuna mtu alidhani kuwa Mbowe anaweza kuwa na madeni mpaka kutupiwa vyombo nje? Usiwaone hawa wakitamba, wengi wao wana mizigo mikubwa ya madeni. Na sasa mahoteli yanapigwa mnada na wakopeshaji kila leo. Sitashangaa!
 
Alifanya kampen mwaka jana hajapewa hela zake na ccm,na ana mikopo bank anaogopa kupigwa minada mali zake,kiufupii anaisoma namba.

Wapo "risk takers" kwa kufanya mambo yao. Wenyewe wanasema "the higher the risk the higher the return".

Tuamini kuna nyakati Shigongo alitengeneza pesa nzuri kupitia shughuli zake. Upepo umegeuka. Akubali kuwa kwenye biashara au kutafuta kuna kupata na kukosa.

Kama yaliyosemwa ni ya kweli, inaonesha bwana huyo si mjanja na hana ukomavu katika mazingira yanayomzunguka.
 
Nikiwa na mamaa kwenye hotel sijui yake au ya mke wake chumba kilikuwa hamsini na tano elfu, pale mkabala na ambiance Africa sana, ki ukweli kufirisika mjanja mjanja kama huyu wa kisukuma ni ngumu isipokuwa anatafuta huruma na kick, na kumbuka kwa wafanyabiashara hela yao yoyote kuwa nje ni pigo kubwa sana wataidai mpaka mwisho
Hiyo hotel ni moja ya mali ambazo zinasubiri kupigwa mnada!!
 
Hiyo hotel ni moja ya mali ambazo zinasubiri kupigwa mnada!!
Aisee haya mahaba hataree hela zote kweli ndyo apeleke ccm sitaki kuamini, au ndyo ule usemi wa awamu hii kwamba mianya ya kupata mali na fedha kijanja janja imeminywa, lakini kuanzia Mwigulu yuko pale waliacha akaunti za ccm zipo ICU, Meghji ndyo kakwangua kabisa, sasa msukuma wa mjini alishindwa nini kugundua kuwa anafanya biashara kichaa, au kufukuzia ubunge kulimtoa ufahamu
 
Aisee haya mahaba hataree hela zote kweli ndyo apeleke ccm sitaki kuamini, au ndyo ule usemi wa awamu hii kwamba mianya ya kupata mali na fedha kijanja janja imeminywa, lakini kuanzia Mwigulu yuko pale waliacha akaunti za ccm zipo ICU, Meghji ndyo kakwangua kabisa, sasa msukuma wa mjini alishindwa nini kugundua kuwa anafanya biashara kichaa, au kufukuzia ubunge kulimtoa ufahamu
Inasemekana alipewa "dili" la kusambaza tshirts na vifaa vingine kwa ajili yq uchaguzi na ilikuwa hela ndefu. Akaenda benki kuvuta hela kwa mategemeo kuwa baada ya uchaguzi hela ingerudi na faida lukuki. Ndiyo jamaa kabana na safari hii hakuna EPA
 
Nikiwa na mamaa kwenye hotel sijui yake au ya mke wake chumba kilikuwa hamsini na tano elfu, pale mkabala na ambiance Africa sana, ki ukweli kufirisika mjanja mjanja kama huyu wa kisukuma ni ngumu isipokuwa anatafuta huruma na kick, na kumbuka kwa wafanyabiashara hela yao yoyote kuwa nje ni pigo kubwa sana wataidai mpaka mwisho



Mfanyabiashara kufilisika ni kama timu ya mpira kufungwa goli; One mistake one goal! Investment kubwa moja mbaya ndio kwaheri! Zikafuata kodi, mikopo, kushtakiwa, kuhonga kufunika mambo, nk nk tayari uko nje ya game; na hicho kinaweza kumtengua Erick, good riddance Erick, kiendacho hurudi!
 
Inasemekana alipewa "dili" la kusambaza tshirts na vifaa vingine kwa ajili yq uchaguzi na ilikuwa hela ndefu. Akaenda benki kuvuta hela kwa mategemeo kuwa baada ya uchaguzi hela ingerudi na faida lukuki. Ndiyo jamaa kabana na safari hii hakuna EPA
Angeomba apewe maono na kwenda mahakamani anangoja nini
 
Marehemu John Komba pamoja na kuiimbia CCM maisha yake yote shule zake zilipigwa mnada, akapata pressure, ikamuua. Siasa ni aina fulani ya usangoma, kuweni makini.
 
Ujue hii ni aibu kubwa sana kwa shigongo.hawa watu.aliwa promote sana wakati wa uchaguzi Leo wanamliza.
 
pole sana brother Eric wa mahadith na udaku ila ndio maisha.....
baada ya kukupa pole naomba nikukumbushe yafuatayo kisha ujue kuwa unayopitia ni haki yako kupitia maana adhabu za mnafiki huanzia dunian na nahsi zimeanza na ww unasitahili adhab hiyo ya mali zako kupigwa mnada na mengineyo,pitia haya
1.kwa kupitia magezeti yako umewapa machungu wengi sana,umehalibia watu sifa zao mtaani,umevunja ndoa nyingi,umevuluga mahusiano kibao,unaikumbuka ofm fichua maovu ambayo walokuwa wamepumzika tuu bar mliwapa dhambi ya udhinifu wakat si kwel!!UNAYOPITIA NI MADOGO KULIKO ULIYOWAPA WENZAKO

2.kwa magazeti yako ya udaku ulikipa chama nafasi kubwa sana na ukagandamiza upande wa pili leo umetendwa unakuja upande wa pili wakusaidie kuwasumbua uliowabeba!SIASA HAINA RAFIKI WA KUDUMU

3.Brother hadithi zako baadhi huwa unahusi watu kuwa wavumilivu na kutunza siri,sasa kama ww ni kijana wa chama imekuaje uje kukianika chama hapa?ww ni mnafiki na hata maji uliyopewa na muweka hadhina hukupaswa kupewa na ndio maana Comrade Abdulrahman hapokei simu zako maana comrades huwa hawapendi unafiki

4.kwa magazeti yako ya udaku ulishabikia san kulush hbr za wenzako pale dhamana zao zilipotakiwa kuuzwa mfano kipindi mali za mh wa ma song ya ccm zilipotakiwa kupigwa mnada!sasa yamekufika na ww unalia so ulidhan wale ulowafedhehesha wana mioyo ya chuma!brother hayo ni malipizi yako

5.kwa semina zako unahusia watu kutokata tamaa mapema sasa mbn ww inaonyesha umekata tamaa mapema afu jumla yani hadi inafikia unalia mbele ya wafanyakaz na mkeo?kwel mganga hajigangi!

6.unakumbuka magazeti yako yalivyotumika 2007 juu ya marehem ammy chfupa?,malipo dunian

NB:Yanayokukuta iwe fundisho kwa wengine kuwa hii dunia kila ufanyalo malipo hapahapa duniani.
KARIBU KATIKA ULIMWENGU WA KUSOMA NAMBA BROTHER.

Safi sana. Huyu jamaa ni bonge la mnafiki. Magazeti yake ndio yalikuwa front kumtukama Lowassa kila siku. Ngoja aisome namba!
 
Back
Top Bottom