Chakusonje
Member
- Oct 1, 2011
- 37
- 1
"MWITA MATTEO acha dharau ndg yangu, wagogo wa leo siyo wale wa enzi za Malecela. Juzi nilikuwa dodoma nikafanikiwa kutembelea vijiji vyote jimbo la bahi, kata 8 jimbo la mtela, kata 10 dodo mjini. Kwa taarifa yako nimeona jinsi gani watu walivyo ichoka ccm na mabadiliko makubwa janakuja! Wana jf ninampango wa kufanya utafiti majimbo mengine matatu kwa kata zote thn nitawaletea hoja hapa jamvini muijadili, na pia kwa kuwa mimi ni mtumishi wa umma nawatafuta akina Mnyika, Zitto, Mdee au kiongozi yeyote wa cdm niwape mbinu mmbadala ya kuichukua dodoma.nb hata kama chadema wangesimamisha jiwe bahi katika uchaguzi uliopita jiwe hilo lingeshinda kwa kishondo."