Hahaha labda unaringa kwa sababu unaishi nje ya TZ lkn kumbuka msemo usemao kwamba Serikali ina mkono mrefu, sijakwambia hivyo kukutisha ila kukushauri tu usianzishe moto usiokuwa na kazi nao!
Bado una ndugu na jamaa hapa Bongo hivyo kuwa mwangalifu na hasira zako zisije zikakuponza kwani si mbowe wala fisadi lowasa watakaojitoa kukutea siku likikukuta la kukuta!
Hii ni Afrika na kuishi Ulaya/USA kusikufanye uone kama TZ ni kama USA/Ulaya, TZ bado ni Afrika, hivyo kuwa mwangalifu na angalia maisha yako zaidi, kwani unaweza kushangaa mbowe, tundu Septemba 2 ukawaona wanakunywa juisi Ikulu huku wakikenua meno na kwa furaha!
Ubarikiwe na Mungu akupe busara za kutambua kwamba maisha ni zaidi ya mbowe na fisadi lowasa isitoshe wao, familia na koo zao zote ni matajiri na wanaishi vizuri sana tu!