Barua kwa Jenerali Devi's Mwamunyange (JWTZ)

Barua kwa Jenerali Devi's Mwamunyange (JWTZ)

Mkuu acha kutajataja Mkuu wa Majeshi kwa issue za kijingajinga. Wewe unataka andamana la acha. Kuna machaguo mawili mbele yako.
 
Mkuu imekupahasira Sana, maoni yake tu, Sijui Kama yamekuumiza Sana Mpaka utoe ya Moyoni. Hii Ndo democracy mkuu[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Jamaa hataki maandamano yalindwe kwa amani na yamalizike salama yeye anachotaka yasifanyike tu
 
Mim
Kwako jenerali mwamunyange :

Mimi Technically bila kushinikizwa na mtu nikiwa na akili timamu nimeamua kukuandikia barua fupi nikikumbusha baadhi ya mambo muhimu!!
Kwanza kabisa napenda kukupongeza kwa moyo wangu wote kwa taasisi yako ya JWTZ kutofungamana na upande wewete yaani kuwa huru!!

Hongera kwa ujenzi wa taasisi imara ya kijeshi isiyoyumba na imekuwa nembo ya kuigwa kote Afrika mashariki na kati!!!

Kuonyesha kuwa taasisi yako ni imara sijasikia yafuatayo!!!
Sijasikia wafanyakazi hewa wakitangazwa kutoka kwenye taasisi yako!!
Sijasikia wanajeshi wakijiingiza kwenye siasa uchaguzi uliopita kama walivyofanya polisi wa Taifa ili!!
Sijasikia ukipeleka mrejesho wa pesa ikulu kama walivyoufata Bunge,Mahakama, na tume ya uchaguzi ili linaonyesha Taasisi yako ni imara na ndio taasisi pekee iliyobaki ambayo haifanyi kazi kisiasa!!!!

Lengo la kukuandikia barua hii ni kukupongeza na kukutaka uendelee kufanya kazi hivyo hivyo bila kuingiliwa na mtu au taasisi yeyote kwa masilai ya Taifa (wananchi).
Umefanya mambo makubwa sana kwenye operations za Kongo, Comoro na sudani kusini!!!!

Nataka nikushauri kitu kimoja hakikisha ulinzi wa taifa lako na usikubali mtu yeyote avuruge amani ya nchi kwa namna yeyote!!
Nchi hii ni yetu wote hakuna mtu hata mmoja Mwenye hatimiliki !!

Waambie police wasikubali kuingia kwenye mtego wa kusumbua waandamanaji kuelekea Operations Ukuta !!! Walindeni watu ikiwezekana tandazeni barabara za kupita na police wafunge kamera kwa ajiri ya kulinda usalama wa Mali za RAIA!!!

Wanajeshi wazunguke mipaka yetu waweke ulinzi wa hali ya juu kwenye mipaka yetu kwani inawezekana pia kuna mipango miovu inaweza sukwa kwa ajiri ya kuwabambikiza kesi RAIA na viongozi wa vyama vya siasa kuwa wanaleta fujo na ugaidi na kuja kusababisha kufutwa kwa chama Fulani!!!

Ni hayo tu kwa Leo natamani barua hii ikufikie wewe mwenyewe uisome lakini ninachojua kuna wanajeshi wa kutosha huku jamii forumu watakufikishia ujumbe huu!!

Amani ya nchi yetu iko mikononi mwa jeshi lako !!
Mimi ninadhani unamuonea sana Jenerali Mwamunyange. Salamu zako hizo kama kweli ulikuwa unafaka kufikisha kunakohusika ungetuma kwa Kamanda Mkuu wa Majeshi Yote nchini.
 
hii ni nchi ya wachache inakoelekea jamaa anapiga beat za maana
 
Kwako jenerali mwamunyange :

Mimi Technically bila kushinikizwa na mtu nikiwa na akili timamu nimeamua kukuandikia barua fupi nikikumbusha baadhi ya mambo muhimu!!
Kwanza kabisa napenda kukupongeza kwa moyo wangu wote kwa taasisi yako ya JWTZ kutofungamana na upande wewete yaani kuwa huru!!

Hongera kwa ujenzi wa taasisi imara ya kijeshi isiyoyumba na imekuwa nembo ya kuigwa kote Afrika mashariki na kati!!!

Kuonyesha kuwa taasisi yako ni imara sijasikia yafuatayo!!!
Sijasikia wafanyakazi hewa wakitangazwa kutoka kwenye taasisi yako!!
Sijasikia wanajeshi wakijiingiza kwenye siasa uchaguzi uliopita kama walivyofanya polisi wa Taifa ili!!
Sijasikia ukipeleka mrejesho wa pesa ikulu kama walivyoufata Bunge,Mahakama, na tume ya uchaguzi ili linaonyesha Taasisi yako ni imara na ndio taasisi pekee iliyobaki ambayo haifanyi kazi kisiasa!!!!

Lengo la kukuandikia barua hii ni kukupongeza na kukutaka uendelee kufanya kazi hivyo hivyo bila kuingiliwa na mtu au taasisi yeyote kwa masilai ya Taifa (wananchi).
Umefanya mambo makubwa sana kwenye operations za Kongo, Comoro na sudani kusini!!!!

Nataka nikushauri kitu kimoja hakikisha ulinzi wa taifa lako na usikubali mtu yeyote avuruge amani ya nchi kwa namna yeyote!!
Nchi hii ni yetu wote hakuna mtu hata mmoja Mwenye hatimiliki !!

Waambie police wasikubali kuingia kwenye mtego wa kusumbua waandamanaji kuelekea Operations Ukuta !!! Walindeni watu ikiwezekana tandazeni barabara za kupita na police wafunge kamera kwa ajiri ya kulinda usalama wa Mali za RAIA!!!

Wanajeshi wazunguke mipaka yetu waweke ulinzi wa hali ya juu kwenye mipaka yetu kwani inawezekana pia kuna mipango miovu inaweza sukwa kwa ajiri ya kuwabambikiza kesi RAIA na viongozi wa vyama vya siasa kuwa wanaleta fujo na ugaidi na kuja kusababisha kufutwa kwa chama Fulani!!!

Ni hayo tu kwa Leo natamani barua hii ikufikie wewe mwenyewe uisome lakini ninachojua kuna wanajeshi wa kutosha huku jamii forumu watakufikishia ujumbe huu!!

Amani ya nchi yetu iko mikononi mwa jeshi lako !!
Mkuu usiliingize Jeshi katika porojo za kisiasa,halafu jiongeze kidogo mkuu....CDF (tena mweledi kama huyu tuliyenae) anaanzaje kuwaelekeza jambo polisi? au ulimaanisha IGP? Mbona machief tulionao wanatambua majukumu yao sidhani kama wanahitaji kukumbushwa kwa barua za mtandaoni tena zilizoandikwa KI-HAPA NA PALE.
 
Mkuu usiliingize Jeshi katika porojo za kisiasa,halafu jiongeze kidogo mkuu....CDF (tena mweledi kama huyu tuliyenae) anaanzaje kuwaelekeza jambo polisi? au ulimaanisha IGP? Mbona machief tulionao wanatambua majukumu yao sidhani kama wanahitaji kukumbushwa kwa barua za mtandaoni tena zilizoandikwa KI-HAPA NA PALE.
Uhuru wa mawazo ueshimiwe!!
 
Uhuru wa mawazo ueshimiwe!!
Nakubaliana nawe lakini huku tunawekana sawa,kama ni muungwana utakubali kuwa barua yako ina mapungufu,tukianza na hapo unaposhauri mkuu wa majeshi awaambie polisi....,kama ulikuwa unaamini kuwa hilo ni jukumu lake basi ni wazi pia unaamini kwa kuwa bado hajawaambia basi amekosea,ndio mana nasi tunatumia muda huu kukuweka sawa.
Ukiona kuna cha kujifunza fanyia kazi.
 
Kwako jenerali mwamunyange :

Mimi Technically bila kushinikizwa na mtu nikiwa na akili timamu nimeamua kukuandikia barua fupi nikikumbusha baadhi ya mambo muhimu!!
Kwanza kabisa napenda kukupongeza kwa moyo wangu wote kwa taasisi yako ya JWTZ kutofungamana na upande wewete yaani kuwa huru!!

Hongera kwa ujenzi wa taasisi imara ya kijeshi isiyoyumba na imekuwa nembo ya kuigwa kote Afrika mashariki na kati!!!

Kuonyesha kuwa taasisi yako ni imara sijasikia yafuatayo!!!
Sijasikia wafanyakazi hewa wakitangazwa kutoka kwenye taasisi yako!!
Sijasikia wanajeshi wakijiingiza kwenye siasa uchaguzi uliopita kama walivyofanya polisi wa Taifa ili!!
Sijasikia ukipeleka mrejesho wa pesa ikulu kama walivyoufata Bunge,Mahakama, na tume ya uchaguzi ili linaonyesha Taasisi yako ni imara na ndio taasisi pekee iliyobaki ambayo haifanyi kazi kisiasa!!!!

Lengo la kukuandikia barua hii ni kukupongeza na kukutaka uendelee kufanya kazi hivyo hivyo bila kuingiliwa na mtu au taasisi yeyote kwa masilai ya Taifa (wananchi).
Umefanya mambo makubwa sana kwenye operations za Kongo, Comoro na sudani kusini!!!!

Nataka nikushauri kitu kimoja hakikisha ulinzi wa taifa lako na usikubali mtu yeyote avuruge amani ya nchi kwa namna yeyote!!
Nchi hii ni yetu wote hakuna mtu hata mmoja Mwenye hatimiliki !!

Waambie police wasikubali kuingia kwenye mtego wa kusumbua waandamanaji kuelekea Operations Ukuta !!! Walindeni watu ikiwezekana tandazeni barabara za kupita na police wafunge kamera kwa ajiri ya kulinda usalama wa Mali za RAIA!!!

Wanajeshi wazunguke mipaka yetu waweke ulinzi wa hali ya juu kwenye mipaka yetu kwani inawezekana pia kuna mipango miovu inaweza sukwa kwa ajiri ya kuwabambikiza kesi RAIA na viongozi wa vyama vya siasa kuwa wanaleta fujo na ugaidi na kuja kusababisha kufutwa kwa chama Fulani!!!

Ni hayo tu kwa Leo natamani barua hii ikufikie wewe mwenyewe uisome lakini ninachojua kuna wanajeshi wa kutosha huku jamii forumu watakufikishia ujumbe huu!!

Amani ya nchi yetu iko mikononi mwa jeshi lako !!
Umeanza vizuri huku mwisho umetimbanya kabisa
 
Ndiyo ni demokrasia na ndiyo maana nikasema hapa ni Afrika/TZ na siyo USA/Ulaya, mambo mengine ni kuyaacha tu kwa maana mwisho wa siku hizi ni siasa tu na hamna haja ya kujiletea matatizo bila ya sababu, ninafahamu watu waliopata matatizo, ndiyo maana nikamuonya!
Wewe unaonekana ni kiumbe dhaifu na unae ogopa sana.......
 
Back
Top Bottom