Barua kwa Dr. W. Slaa

luten ni ushauri mzuri sana.Naamini CDM kuna wasomi wengi wa watu wenye mapenzi na chama pia na wazee wenye busara.maamuzi yoyote watakayo fanya naamini yatakuwa sahii.Hata kama Lewa akiwekewa pingamizi la kutogombea anaweza gombea Slaa.naanini SLaa na Lema wanavaliana viatu,Lema anaweza fanya kazi anayofanya Dr sasaivi ya kujenga chama, natumaini ni wakati mzuri sasa kwa vijana kuanza kujitetgemea na kujifunza.ndani ya chaaaadema kila mtu ni jembe.chadema ilinza na Mungu na tutakuwa na Mungu siku zote.KUMPIGA CHURA TEKE NI KUMUONGNEZEA SPEED.PEOPLESSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS.......................
 
Nakubaliana na maneno yako, kwani kuweka vifungu viwili kwenye hukumu moja ni mtego kwa CDM. Please CDM tuweni makini
 

Mkuu naona unijibu endapo CDM itakata rufaa Lema ataendelea kuwa mbunge au jimbo litakuwa halina mbunge mpaka hukumu iamuliwe?
 
Najua shukrani zako zimejikita katika kulikomboa jimbo. Mnadhani Lema peke yake ndiyo tishio Arusha.
Kwa taarifa yako hata Mbwa akipewa bendera ya CDM akasimama na Jk mbwa anashinda.
Arusha wanaiona ccm kama Shetani
Tunashukuru luteni kwa barua yako yenye maneno murua...
 
kama hata kata rufaa?je kifungu hicho kilichotumika kinamzui kugombea ubunge tu au ni pamoja na mambo ya kisiasa?jamani ile hukumu ni balaa kwa Lema kwa kweli.
 
Nasema tena na tena ,giza huwa nene zaidi kabla ya mapambazuko.Saa hii tutazungumza sana kwa sababu tunamhemko na hukumu ya kipuuzi iliyotolewa dhidi ya kamanda lema ,Lakini ni tumaini langu na makamanda wenzangu kwamba kutapambazuka .Hatuna budi kuamini kwamba njia ya kutupatia haki itapatikana tena sio mbali ni hapo jumamosi,Amri jeshi mkuu mbowe atasema ,jipeni moyo konde ndg zangu .
 

Spanner kwa Luteni hiyo haiwezekani..... nadhani hujui track record yake, anaweza kuwa katoa ushauri ambao wewe hukubaliani nao , lakini hili la kutumwa NO!
 

Big up man, This is a greater thinking, CDM watch out. Kwahaya unabashiri kwamba hata Meatu na singida ndo hayo hayo?
 
Luten Mungu akubariki na bila shaka Dr Slaa atapita hapa.
Lakini suala hili kunatakiwa kufanyike kitu ili serkali ijifunze, tunasubiri busara za viongozi wa cdm
Ili serikali ijifunze CDM inatakiwa ishinde uchaguzi wa marudio kwa kishindo, itatoa funzo kuwa mbunge ni chaguo la wananchi si la mahakama.
 
"Serikali inaingilia uhuru wa mahakama"- Jaji mkuu. No rufaa.
 
Mimi sio mwanasheria ila ni gwiji wa mchezo wa CHESS! Luteni ana-predict two moves za mpinzani wake (wetu)! LAKINI counter attack yake inampa adui muda mrefu wa kufikiri...LUTENI NA PASCO peanieni contacts za kweli then do something!
 
SPANNER

Si wote tuko hivyo wengine ni ma-independent thinkers.
 
Kushindwa huanza na hofu, haraka ya nini? Rufaa ikatwe, mahakama iamue upya, c majaji wote ni wahuni, pili c lema, ni Zaidi ya lema, kesi mahakamani ni mapambano mengine muhimu dhidi ya mhimili huu wa dola, mandela alikaa gerezani Zaidi ya 20yrs na akaingia ikulu, marando, safari, na lisu simamieni rufaa ikatwe. Tuache hisia, Kama jaji. Kajichanganya ni jukumu la cdm kuweka sawa.
 
Mkuu Pasco hizo zote ni court proceedings ambazo ndio mtego wenyewe, kama CDM wanauhakika wa kushinda kwanini wampe mpinzani wao muda wa kujipanga? Halafu using common sense kama unajua hii njia ni hatari kwanini uitumie?
 
Kaka mimi nimekukubali kwa analysis yako, najua una uelewa wa sheria kwa kiasi fulani ambao mimi sina, lakini nakubaliana na wewe kwamba lema akionekana kuna vifungu vya sheria vinavyombana basi afanye kazi za chama kitaifa zaidi na aendelee kuhamasisha na kutia moyo wananchi kuwa ukombozi wao upo karibu, na kwa wakati huohuo, chama kiteue mtu mwingine ambaye kwa namna yoyote ile atashinda hapo ccm watakuwa wameaibika zaidi na lema ataendelea kuwa mwiba kwao kwa kufungua matawi kila kona ya nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…