Barua kutoka kwa teacher.

Barua kutoka kwa teacher.

Salamander

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2012
Posts
28,536
Reaction score
15,751
142c8187d0b2d0fd5b0d15528e004c7a
 
kwa spelling hizo!!! hiyo lazima kaandika mwanafunzi (collin) mwenyewe
 
Hivi kuweka x kwenye s ni ujanja ama?
Ungeandika shule badala ya xhule ungepungua nini?!

Hao ndio masharobaro siku hizi wanaitwa masharoharo. Hapo anaona kuweka x sehemu ya s ni ujanja kumbe ni ulimbukeni usio mithilika.
 
Uandishi wa namna hii huwa unanitibua bado afu unamkuta na bahasha anatafuta kazi
 
Back
Top Bottom