Mkuu huyu jamaa ni hatari sana kwa dunia na anaweza kuleta maafa makubwa. Chuki zake dhidi ya waafrika na Latinos ni kwasababu hawakumpa kura kwenye uchaguzi uliopitaTukiweka ushabiki watu pembeni, kiukweli Trump ni mbaguzi, tena ni mtu angekuwa na uwezo angeangamiza watu weusi wote duniani,
Huyu hana tofauti na Adolf hitler
Ivi kweli Rais unathubutu kuwaita wanawake Nguruwe, mbwa, na wavivuMkuu huyu jamaa ni hatari sana kwa dunia na anaweza kuleta maafa makubwa. Chuki zake dhidi ya waafrika na Latinos ni kwasababu hawakumpa kura kwenye uchaguzi uliopita
Ndugu yake huyo, trump ana asili ya germanyTukiweka ushabiki watu pembeni, kiukweli Trump ni mbaguzi, tena ni mtu angekuwa na uwezo angeangamiza watu weusi wote duniani,
Huyu hana tofauti na Adolf hitler
Mngekuwa mnatokwa POVU kwenye mambo ya msingi ya maendeleo na demokrasia ya kweli kwenye nchi zenu ingependeza zaidi. Eti mnatokwa POVU kisa tu mmetukanwa. MIAFRIKA BWANA!!!Ndugu yake huyo, trump ana asili ya germany
Trump sio mnafiki anaongea kile anachokiamini yeye. WATU WOTE WEUPE kuhusu Afrika. WANA MTIZAMO KAMA WA TRUMP. Ni kwasababu mtu mweusi ni mjinga sana na limbukeni. Binafsi sipendi kubaguliwa na sipendi kutukanwa pia sipendi kudharauliwa. Lakini lazima tujiulize ni kwanini mtu akubague au akudharau.Tukiweka ushabiki watu pembeni, kiukweli Trump ni mbaguzi, tena ni mtu angekuwa na uwezo angeangamiza watu weusi wote duniani,
Huyu hana tofauti na Adolf hitler
Ana asili ya Germany Pengine ni ndg yake Hitler.Tukiweka ushabiki watu pembeni, kiukweli Trump ni mbaguzi, tena ni mtu angekuwa na uwezo angeangamiza watu weusi wote duniani,
Huyu hana tofauti na Adolf hitler
Kweli Mkuu MTU katutkana ndio,,,lakin isiwe kigezo cha kutkwa na povu ili hali hakupnguziii wala kukuongezeaa chchctee,,,,,tureact kweny mamb ya msing sio hili wabong bhn marangap tunazinguliwa kweny nch yetu tumefyta mikia?nonsenseMngekuwa mnatokwa POVU kwenye mambo ya msingi ya maendeleo na demokrasia ya kweli kwenye nchi zenu ingependeza zaidi. Eti mnatokwa POVU kisa tu mmetukanwa. MIAFRIKA BWANA!!!
Hata kama yana ukweli ni vibaya kutumia lugha ya kibaguzi kwanini Rais Donald Trump hakuziponda wahamiaji nchi za ulaya zilizo masikini kama Poland, Romania, Czech nk. Na kwanini atishie kusimamisha misaada kwa Palestina ama Pakistan wakati bado anaipa Israel mabilioni ya dola. Sijawahi kusikia Rais Donald Trump akiongelea kuhusu utawala bora Africa wakati sasa viongozi wengi wa bara la Africa hawaeshimu utawala bora na Demokrasia .Ni kweli trump kaongea maneno makali kuhusu waafrika, maneno ambayo kwa asilimia kubwa yametukera waafrika, lakini hebu tuchambue katika jumla ya aliyo yaongea hakuna ukweli ndani yake? kama upo hebu tuufanyie kazi.
Watu weusi Sikilizeni, HESHIMA huwa HAIOMBWI inatafutwa anachofanya TRUMP yuko sahihi kabisa. MASIKINI/MJINGA siku zote DUNIANI ni wa kudharauliwa tu.Tukiweka ushabiki watu pembeni, kiukweli Trump ni mbaguzi, tena ni mtu angekuwa na uwezo angeangamiza watu weusi wote duniani,
Huyu hana tofauti na Adolf hitler