Cobra70
Senior Member
- Jan 2, 2020
- 167
- 363
Ndoa ni nadhiri au maagano mnaojiapiza mbele ya Mungu yaani kwamba mume na mke mtavumiliana kwenye raha na shida. Katika karne hizi vijana mnafunga ndoa kama sanaa za maonesho tu baada ya hapo ni usimbe na umalaya kwenda mbele.
Huwezi ukamfahamu mtu tabia yake vizuri ndani ya miezi, mwaka au miaka miwili ukasema huyo ni mke au mume.
Ndio maana mataifa ya magharibi yaliotuletea dini ya kikristo utasikia mtu amefunga ndoa na mpz wake wa zamani mala nyingine tayari walishazaa hata watoto watatu au wameishi zaidi ya miaka kumi lengo ni kujuana vema na kila mmoja kuridhika na mwenzake na kuepusha kuingia maagano ya kimungu bila ya kujiandaa na kujiridhisha.
Vijana acheni kukurupuka.
Huwezi ukamfahamu mtu tabia yake vizuri ndani ya miezi, mwaka au miaka miwili ukasema huyo ni mke au mume.
Ndio maana mataifa ya magharibi yaliotuletea dini ya kikristo utasikia mtu amefunga ndoa na mpz wake wa zamani mala nyingine tayari walishazaa hata watoto watatu au wameishi zaidi ya miaka kumi lengo ni kujuana vema na kila mmoja kuridhika na mwenzake na kuepusha kuingia maagano ya kimungu bila ya kujiandaa na kujiridhisha.
Vijana acheni kukurupuka.