Hakuna Raha yoyote ya kukaa sehemu ya baridi,last year nilienda mbeya msimu wa baridi na sikulala wala kuenjoy,baridi inaumiza na inataka ukae ndani tu. Ina limit sana movement hata Bata nilishindwa kula.
Baridi inatesa sana,maji unayaona kama acid,hata kunywa Maji unajiona mzito.