Mechi ya wavulana hiyo!! Tangu Messi atoke barca i ekuwa timh ya wavulana!! Imetolewa champions league kwenye hatua ya awali ya makundi, kwenye msimamo wa laliga iko mbali mno!! mwakani haitakuwepo kabisa kwenye UEFA zoge mbili!! Imethibitika barca ilikuwa na jeshi la mtu mmoja!!!
Mechi ya wavulana hiyo!! Tangu Messi atoke barca i ekuwa timh ya wavulana!! Imetolewa champions league kwenye hatua ya awali ya makundi, kwenye msimamo wa laliga iko mbali mno!! mwakani haitakuwepo kabisa kwenye UEFA zoge mbili!! Imethibitika barca ilikuwa na jeshi la mtu mmoja!!!
Mechi ya wavulana hiyo!! Tangu Messi atoke barca i ekuwa timh ya wavulana!! Imetolewa champions league kwenye hatua ya awali ya makundi, kwenye msimamo wa laliga iko mbali mno!! mwakani haitakuwepo kabisa kwenye UEFA zoge mbili!! Imethibitika barca ilikuwa na jeshi la mtu mmoja!!!
Utetezi wa kiboya huu!
Eti mfumo hujakaa sawa, hivi mtu kama Neymar nae utasema ni mfumo ama utamtetea kwa majeruhi?
Ni utopolo mkubwa kusema anabaniwa pass, hizo anazozipata hata kama ni chache anazipata kwa kukaba? Hizo chache anazozipata nazo anazifanyia nini?
Kirikuu kwa sasa imebaki kidevu tu, hamna kitu hata kwenye timu ya taifa jina ndilo linalombeba kule! Ukweli ukisemwa mnasema ni haters...
Kirikuu kiwango kimeboronga, mtu sasa hata balance ya miguu hana, akipata mpira tu kucontol kwa sasa hawezi nao ni mfumo...!?