Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 305
- 1,166
Mimi naijua Simba, sijaanza kushabikia Leo wala jana, nmeanza kwenda uwanjani kuangalia Simba enzi za akina Aston Padon, Juma Limonga, Sunday Juma, Mosses Mkandawile, Omary Hussein Kevin keegan.
Simba imeshazoea kuwa kama kuna mtu ndani ya uongozi hawamtaki basi wanahujumu timu ili mambo yao yafanikiwe.
CEO amebana sana mianya ya upigaji ndani ya timu, mambo ya kuchezea hela bila utaratibu hakubaliani nayo, wajanja wanataka fungu kubwa la kamati ya ufundi jambo ambalo CEO Barbra hakubaliani nayo, sasa kinachofanyika ni kumkalia vikao vya majungu ili aharibikiwe aonekane amefeli, Simba imemuachia timu yeye tena kwenye gemu ngumu dhidi ya yanga, wamejisemea, Ngoja tumuache tuone atafanya nn, ndicho kilichotokea jana dhidi ya yanga, akina Kaduguda waligoma kwenda kumsaidia kwa madai hawakubaliani na baadhi ya mambo ndani ya timu.
Simba ikiwa na Hassan Hassanoo, Kassim Dewji, Dalali, Magori, na baadhi ya wazee haiwezi kufungwa na Yanga isipokuwa hujuma zinafanyika ili Barbra aondoke.Ndio maana namshauri Mo Dewji asiweke hela yake hiyo B 20, wajinga wajinga wengi pale klabuni kwetu.
Namshauri Barbra aachie ngazi ili Simba isonge mbele, kuna watu wanauza ishu ndani ya timu ili kumchafulia utendaji wake.
Simba imeshazoea kuwa kama kuna mtu ndani ya uongozi hawamtaki basi wanahujumu timu ili mambo yao yafanikiwe.
CEO amebana sana mianya ya upigaji ndani ya timu, mambo ya kuchezea hela bila utaratibu hakubaliani nayo, wajanja wanataka fungu kubwa la kamati ya ufundi jambo ambalo CEO Barbra hakubaliani nayo, sasa kinachofanyika ni kumkalia vikao vya majungu ili aharibikiwe aonekane amefeli, Simba imemuachia timu yeye tena kwenye gemu ngumu dhidi ya yanga, wamejisemea, Ngoja tumuache tuone atafanya nn, ndicho kilichotokea jana dhidi ya yanga, akina Kaduguda waligoma kwenda kumsaidia kwa madai hawakubaliani na baadhi ya mambo ndani ya timu.
Simba ikiwa na Hassan Hassanoo, Kassim Dewji, Dalali, Magori, na baadhi ya wazee haiwezi kufungwa na Yanga isipokuwa hujuma zinafanyika ili Barbra aondoke.Ndio maana namshauri Mo Dewji asiweke hela yake hiyo B 20, wajinga wajinga wengi pale klabuni kwetu.
Namshauri Barbra aachie ngazi ili Simba isonge mbele, kuna watu wanauza ishu ndani ya timu ili kumchafulia utendaji wake.