Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Habari nilizozipata ni kuwa Baraza La Vijana CHADEMA(BAVICHA) limetangaza uchaguzi wa ngazi ya taifa ambao ulifanyika mwezi agosti lakini ukafutwa..Habari zilizonifikia ni kuwa zoezi la kuchukua na kurudisha fomu linaanza tarehe 8 mpaka 22 mwezi huu.Vijana wote wa CHADEMA wenye nia ya kugombea wameombwa wajitokeze kufanya hivyo.Fomu zitapatikana katika ofisi zote za CHADEMA za mikoa na Makao Makuu ya chama hicho..