Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
Nauliza hivi! hiivi,kuwa uchaguzi wa mwenyekiti unaanyika lini? kipi bora mwenyekiti au kiognozi wa vijana? kwa nini wazee wasimweke tu huyo wanaemtaka??
nitauliza mpaka nijue uchaguzi wa mnweyekiti ni lini!
Mwenyekiti gani tena wa CCM taifa hata mimi sijawahi kusikia uchaguzi huo nasikia ukiwa rais tu tayari umeukwaa uenyekiti