Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
Huyo Mrusi na wenzie hawatakuja kuweza kufanya hicho kitu "gold backed Currency" sababu mahitaji ya Currency kama ingekuwa Dhahabu na Silver ni makubwa na kiasi cha dhahabu kilichopo na kinachozalishwa haviwez kumeet demand ya mahitaji ya amount of CurrencyUSD haiwi backed na kitu chochote tangible ili kuipa thamani ndo maana Mrusi na wenzie wanataka kuzifanya sarafu zao ziwe backed na dhahabu maana mfumo wa sasa ulivyo hizo pesa ni karatasi tu zilizopewa thamani na waliobadili mfumo wa kutoka sarafu kua backed na rasilimali fulani hadi kuja mfumo wa sasa ambao sarafu ni karatasi tu iliyopewa thamani fulani ni Marekani kwa ujanja janja wake
Na si USD tu , mpaka sasa ni sarafu zaidi ya 5 zimeweza Ku"evolve" to "fully convertible Currency" ikiwa na maana kwamba hizo nchi (EU, USA,UK, Australia, Canada na hata Japan ) zinaweza kukopa vile zinavyotaka tofauti na nchi kama za Africa ambazo kuna threshold sababu hela zenyewe hazipo hata 'freely convertible' ukikopa sana mikopo kwa sarafu yako au ukatumia sana unatengeza inflation na hata kukausha akiba yote ya fedha za kigeni