mwangalizi
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 842
- 512
Baraza hadi tunaenda mwezi wa kumi limeshindwa kulipa fedha za picha za usajili kidato cha pili na nne 2020.
Picha hizo zilipigwa tangu Januari kwa shule za serikali.
Zilipigwa kwa pesa za nyanya, 500/= kwa kichwa cha mwanafunzi!
Tetesi zinasema pesa hizo zimeingizwa kwenye kampeni ya ccm na wengine wanasema wajanja wameziweka kwenye fixed akaunti na wanakula faida.
Ukweli ni upi?
Je, mmewalipa wapiga picha wote?
Ni kweli fedha zimeelekezwa kwenye kampeni ya ccm?
Ni kweli mmebuni mradi kufidia nyongeza za mishahara?
Picha hizo zilipigwa tangu Januari kwa shule za serikali.
Zilipigwa kwa pesa za nyanya, 500/= kwa kichwa cha mwanafunzi!
Tetesi zinasema pesa hizo zimeingizwa kwenye kampeni ya ccm na wengine wanasema wajanja wameziweka kwenye fixed akaunti na wanakula faida.
Ukweli ni upi?
Je, mmewalipa wapiga picha wote?
Ni kweli fedha zimeelekezwa kwenye kampeni ya ccm?
Ni kweli mmebuni mradi kufidia nyongeza za mishahara?