Baraza La Mawaziri!

Wakenya wapo mbali kielimu pia hata kimtazamo, japo ni mabepari wao maslahi ya taifa mbele kwanza

hapo sioni kama kuna maslahi ya taifa mbele. kila mtu yuko bize kujilimbikizia kwa kadri awezavyo na pia kusambaza faida hiyo kwa jamii yake na siyo kwa taifa.

kila kukicha ni ugomvi wa makabila na maeneo, kila kabila/jamii/eneo wanataka mtu wao akae sehemu yenye maslahi ili arudishe maendeleo kwa jamii/kabila/eneo lake. hapo ndiyo kuna maslahi ya taifa kweli?

wangeshughulikia matatizo ya inequality kati ya maeneo/makabila na maswala ya ardhi na katiba inayotoa fursa sawa kwa wakenya wote bila kuipendelea serikali iliyo madarakani ningeweza kusema kwamba kweli hawa jamaa wameweka maslahi ya taifa mbele!
 
My KENYAN Sisters and Brothers, if you think a bloated cabinet (40 Ministers, 53 Deputy Ministers)is a picnic, then you are in for it. In Tanzania we tried a cabinet of 60 (Full and Deputies)and people complained!! The president had now settled for a cabinet of 43 Ministers (Full and Deputies) after the most recent reshuffle. Let us hope that KIBAKI/RAILA will then review your cabinet (after a year or two) and settle for a modest cabinet of 40 (Full and Deputies).
 
My KENYAN Sisters and Brothers, if you think a bloated cabinet (40 Ministers, 53 Deputy Ministers)is a picnic, then you are in for it. In Tanzania we tried a cabinet of 60 (Full and Deputies)and people complained!! The president had now settled for a cabinet of 43 Ministers (Full and Deputies) after the most recent reshuffle. Let us hope that KIBAKI/RAILA will then review your cabinet (after a year or two) and settle for a modest cabinet of 40 (Full and Deputies).

Ma' Mdogo, shikamoo..?

Kwanza kabisa kamata tano ya nguvu kwa hio avatar.If that is you then kweli waafrika tushafika!I wish all our sisters could nice up like that..with confidence maanake.Asante.

Sasa twende kwenye mada husika.Katika hii ishu ya Kenya it is
important to note that Raila had to accept the workings of the
accord just for the sake of Kenya to move on.Hii bloated Cabinet is the workings of Kibaki and his Mt Kenya ilk...wazee wa tamaa hao.

The biggest ace Raila has ni kwamba wakenya wanamuamini na wanajua he won the election and not Kibaki.As it is washaanza kuleta misukosuko isokua na maana katika mikutano...eti who should address public meetings before inviting the president to speak.Katika mikutano ya jana Raila told Kibaki in his face that protocol demands that power revolves around the president and Prime Minister..wakileta mchezo ODM will pull out na jamaa wanaelekea kwenye debe tena.The thing holding Raila back ni kwamba bado ile infamous ECK haijawa disbanded and reconstituted afresh.Once that is done nakwaambia kaa mkao wa kula nad watch out for Kenya.Tazama hii link kuhusu mkutano wa jana kisha nipe your take...SOMA HAPA!

One thing I believe ni kwamba baada ya hii songombinde waliokumbana nayo, Kenya will come out a better nation than it was compared to Bongo.Bado Bongo mafisadi wanaiba tu na hamna lolote la maana linafanywa.If anything watu wakija humu JF kubadilishana mawazo, wakuu wa serikali wanaanza kuwawinda.
 
Nitauliza tena swali langu qakuu..

Kama hawa watu walishindwa kuwa pamoja walipomwondoia KANU madarakani, leo ni kipi kinachotupa tumaini huu muafaka utaweza kufanya kazi hali wametengana!

Mkandara heshima yako mkuu,

Naomba kuwasilisha jibu ndugu yangu.

Kinachonipa matumaini kua huu muafaka utafanya kazi ni Bw Raila
Odinga.Shida za Kenya zinaletwa na huyo Mzee Kubaka aliyeiba kura.

These people were never with Raila even when they were fighting
KANU..walim'hadaa tu na kumtumia ili kupata mamlaka.When they got it wakamtupa kando.Thats why this time around Wakenya wakasema wamekataa ulaghai wa Kibaki na jamaa zake.Believe it or not Raila has the interests of Kenya at heart and that is why people voted for him overwhelmingly...hata Mungiki(wale wahuni wa Kibaki)..juzi wamesema they voted for Raila maana Kibaki hana dili.

Kwa hivyo wait for the ECK to be disbanded and reconstituted
afresh kisha utaona vihoja.Kibaki and his team really fear a snap election an iwapo wataendelea na hii misimamao yao isoeleweka basi wewe jua watu wataeleka kwenye debe hivi punde!
Shukran kwa m'da wako!
 
Mkandara Kinachonipa matumaini kua huu muafaka utafanya kazi ni Bw Raila Odinga. Shida za Kenya zinaletwa na huyo Mzee Kubaka aliyeiba kura.

These people were never with Raila even when they were fighting
KANU..walim'hadaa tu na kumtumia ili kupata mamlaka.When they got it wakamtupa kando. Thats why this time around Wakenya wakasema wamekataa ulaghai wa Kibaki na jamaa zake.Believe it or not Raila has the interests of Kenya at heart and that is why people voted for him overwhelmingly...hata Mungiki(wale wahuni wa Kibaki).. juzi wamesema they voted for Raila maana Kibaki hana dili.

Kwa hivyo wait for the ECK to be disbanded and reconstituted
afresh kisha utaona vihoja. Kibaki and his team really fear a snap election an iwapo wataendelea na hii misimamao yao isoeleweka basi wewe jua watu wataeleka kwenye debe hivi punde!
Shukran kwa m'da wako!

Ab- tatizo ambalo mimi ninaliona kiasi kwamba linatishia utengano ni hilo la kukosa common goal. Kwenye maelezo yako unakubaliana wazi kwamba Kibaki is there for the interests of the GEMA while Raila is there for the interests of all Kenyans (japo sina uhakika na hilo hasa kutokana na uadui uliopo kati ya GEMA vs The Rest of Kenyans).

Hata mwezi haujaisha tangu uteuzi ufanyike already kuna misuguano ambayo inaonekana mpaka kwenye public. Mwanzo nilisema kwamba hapo kuna mgogoro mkubwa, nina uhakika kuna watu watakuwa wana-report kwa Kibaki moja kwa moja na wengine watakuwa wana report kwa Raila. Protocol mpaka sasa imekaa vibaya na wala haieleweki, it is out of that confusion ministers will take advantage of it na kufanya wanavyopenda. Nina uhakika PNU watakuwa wana-report kwa Kibaki na ODM ministers watakuwa wana-report kwa Raila. Kwa mwendo huo hawawezi ku-co-exisit kwa kipindi cha miaka 5.

Kitu ambacho kitatokea may be ODM wanaweza kuvizia katiba mpya ikatengenezwa na ECK ikavunjwa na kuundwa upya pamoja na marekebisho ya sheria ya uchaguzi, then ODM may opt to walk out of Muafaka na hivyo kuitisha uchaguzi mpya.

Umeona jinsi Kibaki alivyo-retain PSs? Wako watu wana over 55 yrs lakini amewang'ang'ania kama ruba as if hakuna watu wenye sifa za kuwa ma-PS. Nina uhakika hizo appointments bado zitachukua trend ile ile na kwa mwendo huo, ODM watabaki kuwa passenger temporarily while waiting for a new constitution na ndipo watakuwa na say ya kutoka kwenye muafaka ili uchaguzi mpya uitishwe.

Kwa maoni yangu, Kibaki ameshindwa kusoma alama za nyakati kwa kuwa sasa hivi ni headache kwake kuongoza nchi kwa kushirikiana na vyama vyenye malengo tofauti, sera tofauti, na hata misimamo kwenye baadhi ya issues iko tofauti sana. That is why kwenye tour ya reconciliation and healing sidhani kama itakuwa productive kama wao walivyofikiria.

Safari bado ni ndefu sana na si ajabu hata Kibaki ameishaanza kujuta na kuona ugumu na ndiyo maana kwenye ziara za awali anasema akisimama inabidi ajieleze kwamba yeye ni partner wa Kibaki na kwamba wana-share madaraka, na hivyo protocol inataka yeye awee second ama at par with the President na siyo kama vile PNU wamekuwa wakifanya kwamba President, VP and then PM. Kazi ipo!
 
Ab- umeiona hii?

How far will ODM-PNU go?

By Steve Mkawale and Vitalis Kimutai

Day two of peace rallies by President Kibaki, Prime Minister Raila Odinga and Vice-President Kalonzo Musyoka ended again with protocol wars.

The agenda was peace, reconciliation and resettlement, but it ended up with a script straight from the Tower of Babel.
It also put strain on the Grand Coalition as the Electoral Commission of Kenyaannounced June 11, as the date for five parliamentary by-elections and 52 civic wards. With the parties’ strength in Parliament separated by less than five seats, the leaders will be on edge either to maintain the lead or outflank the other.

Wherever a minister from Kibaki’s side spoke, his opening line was — President, Vice-President and the Prime Minister. When those Raila fronted for the Cabinet took the podium, they gave the PM the second mention after the President.

With the confusion, and given the palpable fissure between Orange Democratic Movement and Party of National Unity, as well as the pending business, the Six-Million Dollar question popped up: How far will the two parties and their leaders go?

For the second day, and in heart of Rift Valley, scarred by violence and home to the displaced, what started in Eldoret on Thursday played itself out during the entire tour.

Internal Security Minister, in the Party of National Unity’s fashion of the pecking order, invited Raila to speak, so that Kalonzo would take over and invite the President.

Raila, whose interpretation of the National Accord has it that he shares ‘real’ executive power with the President, and so is senior to Kalonzo, took the microphone to ask Kalonzo to speak then he would return. Kalonzo did so but with the rider that he is not bothered by ‘protocol issues’ because there was a more business – the resettling of the displaced.

But in Chebilat, and before President Kibaki, who appears not to have resolved the protocol wars after Eldoret, Raila went a step further. He ended his speech but did not even invite Kalonzo.
That was when Kalonzo went to the microphone ‘uninvited’, and told the crowd Raila, too, bore the image of traitor he was being accused of.

"I know many felt I betrayed them but we all did – Raila and I. Perhaps it is only President Kibaki who did not do so," said the VP.

Raila in the end invited the President and made it known to the crowd he was the second in command after President Kibaki, leaving Kalonzo to do the explaining.

In Chebilat market in Sotik, and Kipkelion, where the leaders arrived in four choppers, Kibaki watched from his seat as the drama was replayed to the amusement and surprise of the people waiting for security reassurance.

The President did not, yet again, appear to want to step in between Raila and Kalonzo.

Present were seven members of the Grand Coalition Cabinet that despite its discordant voices has promised the country a new constitution in a year. They were Mr William Ruto (Agriculture), Mr Kipkalya Kones (Roads), Dr Noami Shaban, Prof Sam Ongeri, Mr Samuel Pogishio (Information), Mr Dalmas Otieno (Public Service), and Prof Saitoti (Internal Security), and Sports Minister Prof Hellen Sambili.

The other potentially explosive matters the Grand Coalition Cabinet has to handle, albeit with their different approaches, include justice and restitution for the victims of post-election violence.

In Eldoret, Cherangany, Chebilat and Kipkelion the President did not respond to leaders’ call for amnesty for those arrested, and the reinstatement of chiefs sacked for failing to stop the violence.

PNU wants the displaced resettled immediately. ODM leaders argue they still need time to talk to their people to prepare the ground.

The disagreements on the interpretation of the National Accord signed by Raila and Kibaki before the international mediators could be the aftertaste of the ‘portfolio balance’ row in the sharing out of ministries between PNU and ODM.

It also could also be the aftershock of the Public Service reshuffle, which again, contrary to ODM’s expectation, did not scratch beneath the surface.

Raila used the tour to assure the Kipsigis he had not left them out of the sharing of positions.

"You are still represented in the Government. Any minister appointed serves the country and not a community," he said.
The PM said they were still other positions to be filled and urged the community to be patient.

The other MPs in the tour were Mr Kiprono Langat, Mr Charles Keter, Mr Timothy Lesirma, Mr Orwa Ojode and Mr Wilfred Machage and Mr William Cheptumo.

Source: The Standard
 
Mkuu Keil,

Hio posti hapo juu nilikua tayari nimeiona kwenye magazeti ya E.A. Standard na kwa kweli kama usemavyo protocol has really been disregarded.A'fu pia Mzee Kubaka is not a leader by any definition...he is a bigot and a tribalist.Najua uliona jinsi PS's walivyoteuliwa....watu wazee na pia asilimia kubwa ni jamaa za GEMA...all this after ashaambiwa na Koffi Annan kwamba there is need for portifolio balance.

Kwa kifupi Kenya is at a cross roads...kuna watu wanasema lets move on na kuna watu kama kina Kibaki bado wanamambo ya kizamani.

Mtazamo wako wa kuvizia katiba by ODM is very much in line with my thinking.Just disband the dogone entity kisha reconstitute it afresh and include it in the constitution kisha pull out of the coalition twende kwenye debe!
That is the only way to teach Kibaki a lesson.

Si kwamba the rest of Kenyans dont like GEMA people, ishu ni
kwamba hawa viongozi wa GEMA bado ni washamba ile mbaya and Kenyans can't stand it!
 
Si kwamba the rest of Kenyans dont like GEMA people, ishu ni kwamba hawa viongozi wa GEMA bado ni washamba ile mbaya and Kenyans can't stand it!

Sidhani kama tatizo ni ushamba wa viongozi kutoka GEMA, tatizo ni hao viongozi wa GEMA kutaka kuendeleza utawala kutoka GEMA. Yaani Kibaki akiondoka akija Rais mwingine pia atoke GEMA na siyo kutoka nje ya GEMA.

Hilo linatokana na ukweli kwamba GEMA wako after utajiri na kujilimbikizia mali kwa njia halali na zisizo halali. Sasa kuhakikisha kwamba ulinzi wa mali watakazochuma unaendelea lazia wahakikishe kwamba kiongozi ajaye awe anatoka within GEMA ili iwe rahisi kumdhibiti na kuhakikisha kwamba hawapeleki popote. Skendo za ufisadi zilizoitikisa serikali ya Kibaki (Anglo Leasing) zilikuwa ni mabomu yaliyotegeshwa na serikali ya Moi na jamaa walikuja wakafakamia ulaji na ukawatokea puani. Baada ya hizo skendo Kibaki na serikali yake walikosa ujasiri wa kufuatilia ufisadi. Je, baaada ya LDP kujitoa kwenye NARC ulimsikia Kibaki akiongelea habari ya ufisadi? Angepata wapi ujasiri wakati ufisadi huo na yeye ulikuwa unamgusa na ndiyo kwanza akaanza kuwa close na Moi na hata kupelekea kupeana ushauri namna ya kuiongoza nchi. Watu ambao walikuwa maadui leo ghafla waanze kuwa maswahiba, lazima mtu apate mashaka.

Wasiwasi wangu ni kwamba GEMA + Moi wanaogopa asije akatokea mtu mwenye uchungu na nchi na ambaye ni msafi akachukua madaraka ya nchi. Likitokea hilo unaweza kukuta mambo mengi ya zamani yanafukuliwa na watu wataanza kusogezwa kwenye vyombo vya sheria. Lakini hilo linawezekana kama mtu mwenyewe ni msafi na ana nia ya kuweka mfumo mzuri wa utawala wa sheria na haki.

Kenya bado safari ni ndefu, fungeni buti ndo kwanza kunakucha .... shukuruni kwamba uchaguzi wa juzi haukuwazamisha kwenye shimo refu, vinginevyo mngeshindwa kutoka kwenye hilo na ndiyo ingekuwa mmejimaliza wenyewe! Pamoja na hayo hapo mlipo simama sidhani kama pako salama sana, lazima ODM wawe na uvumilivu wa kutosha ili kuhakikisha katiba mpya inaletwa kwa ajili ya ukombozi wa wakenya na pia mabadiliko muhimu ya ECK yanafanyika ili kuepusha mizengwe mbele ya safari. Hofu yangu ni kwamba ODM supporters hawana subira na uvumilivu, sidhani kama wako kwenye page moja na viongozi wao, kinachotakiwa ni subira maana mwaka mmoja si kipindi kirefu!
 
Keil,

Nilipotumia neno washamba nilikua namaanisha the GEMA leaders
are rigid in their ways and they are still locked in the post
independence mentlity where Agikuyu Nationalism ran supreme.
They believe they should rule at the expense of everybody else
in the country.Yaani hata kama wamesoma vipi, a big number of
these leaders still think tribal!

Haya Seketa nyengine hii hapa tazama:

ODM wants ECK locked out of poll

Published on April 27, 2008, 12:00 am

By Isaac Ongiri And Beauttah Omanga

Orange Democratic Party (ODM) wants the Electoral Commission of Kenya (ECK) disbanded before the by-elections for five constituencies on June 11.

The party's National Treasurer Mr Omingo Magara and Immigration minister Mr Otieno Kajwang' called for the creation of an ad hoc committee to oversee the polls, whose schedule ECK released on Friday.

"It is clear that the current ECK lacks credibility and its activities cannot be trusted. It is important that President Kibaki should lead the way in restoring credibility in the Kenyan elections and it should start with by-elections," Magara said.

Magara, an Assistant minister for Trade in the Office of the Deputy Prime Minister, said restructuring of ECK was part of ODM's reform agenda and that the party was looking forward to a free electoral process.

Kajwang' said that it would be painful for Kenyans to see another election organised by ECK under Mr Samuel Kivuitu's chairmanship.

He noted that, although the commissioners have resisted calls to resign, citing the constitutional cushion, it would have been fair if they all resigned to pave the way for reforms in the polls body.

The minister urged President Kibaki to dissolve the commission to pave way for the creation of a parliamentary committee to preside over the by-elections.

"Kivuitu and his team should have long resigned because they now know that the messy elections they handled almost cost us our country," Kajwang' said.

However, PNU came to the defence of Kivuitu's team yesterday, saying Kenyans should wait for the Kriegler Commission to finalise its inquiry before condemning the commissioners.

Forestry minister Dr Noah Wekesa said PNU still recognises the commission and condemning it unheard is not right.

"Kivuitu's team has handled the polls credibly before. Let us not demonise them just because of the dispute that resulted from the December polls," he said.

He said political parties and MPs would have the opportunity to monitor ECK in the by-elections adding that he would himself pitch tent in Emuhaya where he said PNU would battle for the seat through Ford-Kenya.

"We have a very strong Ford-Kenya candidate in Emuhaya and I will personally camp there to supervise the polls on behalf of my party. Other parties should do the same," the minister said.

There have been demands for the resignation of the ECK's 22 commissioners following the disputed December 27 polls that triggered countrywide violence that led to the death of more than 1,300 Kenyans and the displacement of 500,000 others.

On Friday Kivuitu released the by-elections timetable for the polls to be held in Kilgoris, Emuhaya, Wajir East, Ainamoi and Embakasi constituencies.

A day after announcing the dates of the by-elections in five constituencies, the Electoral Commission of Kenya is on the spot over its moral integrity to carry out the exercise.

Civil society officials demanded that the entire ECK be barred from organising the by-elections in the face of the ongoing investigation into its handling of last year's General Election.

National Convention Executive Council chief executive Cyprian Nyamwamu said it would be morally wrong for the team, led by chairman, Mr Samuel Kivuitu, to organise the by-elections.

He asked Parliament to appoint an interim nine-member commission to oversee the polls.

"The ECK has lost the public's confidence. It should not handle any election matters until the Kriegler commission of inquiry gives a verdict," said Nyamwamu.

The activist urged President Kibaki and Prime Minister Raila Odinga to sack the electoral commissioners.

"There are concerns that some ECK officials might fear adducing evidence since their bosses might sack them," said Nyamwamu.

He said the employees who were key to exposing any electoral irregularities, could only feel free to do so if ECK were disbanded
 
ODM Declares Raila as President's equal

Published on April 29, 2008, 12:00 am

By Beauttah Omanga

ODM has stated its official position on the ongoing wrangles over the pecking order, insisting that PM Raila Odinga was an equal of President Kibaki's.

"As far as we are concerned our party leader Mr Raila Odinga, who is the PM, is an equal to President Kibaki's and there is no way he will ever come below a Vice President, who doesn't have executive powers," said Nyong'o.

Addressing a news conference at Orange House, Nyong'o said the Vice President, Mr Kalonzo Musyoka, was entirely to blame for the political confusion. He said ODM had dismissed "the VP's attempts to cover up his treacherous behaviour" in the post-election period. ‘All Kenyans know that had Mr Musyoka not hurriedly and opportunistically joined the PNU bandwagon, Kenyans would not have gone through the terrible bloodbath that put the nation in disgrace,' stated Nyong'o, the Kisumu Rural MP and Medical Services minister.

He said while Raila had redeemed Kenyans from the post election violence by gallantly agreeing to share power with PNU for the sake of peace, unity and political stability, some people on the PNU side with little interest in preserving the nationhood, were allegedly busy trying to undermine the grand coalition government.

But PNU's, Mr George Nyamweya, dismissed the position taken by ODM that there were PNU members who wanted to undermine the PM.

" We as PNU are not aware of any scheme to undermine the PM. What happened between the PM and the Vice President was a small protocol matter which will soon be sorted out," said the nominated MP.

Nyamweya, however, said there was need to harmonise the Accord that gives the PM executive powers and the constitution, which recognises the VP as the president's principal assistant and second in command constitutionally.

Meanwhile, the real test for the Coalition Government will be the June by-elections.

ODM has declared it will be a battle against each other. Party Secretary-General, Nyong'o, said despite the leading political parties being members of the coalition government, they would fight each other politically to win the six seats.

"We are partners in the coalition, but when we go out looking for votes, friendship won't hold," said Nyong'o
 
Back
Top Bottom