Baraza la Mawaziri limehamia India?

Baraza la Mawaziri limehamia India?

Hivi mnavyolalamika per diem mnajua mtoaji wa hizo pesa na kuwagharamikia hao waheshimiwa..?

Hizi deligation huwa zinahudumiwa na wafanya biashara acheni wivu na ni bora wakapapatue huko wanaweza pata kitu..
...CHAWA Utamjua TU ! Majibu mepesi Kwa Hoja Nzito !
 
Hivi mnavyolalamika per diem mnajua mtoaji wa hizo pesa na kuwagharamikia hao waheshimiwa..?

Hizi deligation huwa zinahudumiwa na wafanya biashara acheni wivu na ni bora wakapapatue huko wanaweza pata kitu..
Hao wafanyabiashara wao wanategemea faida gani Ikulu?

Tangu lini wafanyabiashara wamegeuka ngo's za kufadhili serikali bila kutegemea upendeleo?
 
Back
Top Bottom