Hector Cooper
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 779
- 1,177
Wakuu habari za leo! kama mnavyojua kuwa mkuu wa kaya yupo huko kwa Mheshimiwa Modi lakini naona karibu Cabinet yote ipo New Delhi.
si wapo kazini mkuu,Wakuu habari za leo! kama mnavyojua kuwa mkuu wa kaya yupo huko kwa Mheshimiwa Modi,!lakini naona karibu Cabinet yote ipo New Delhi. View attachment 2778166
Anechukia akiwa wapi?
Nafikiri atakuwa Sabrina Hamza Sungura! aliwahi kuwa mbunge wa chadema viti maalum nadhani aliamua kuunga juhudi. ni sukari ya wakubwa hiyo.Huyo wa kwanza aliyekaa mbele ya mjeda ni nani?
Hivi mnavyolalamika per diem mnajua mtoaji wa hizo pesa na kuwagharamikia hao waheshimiwa..?Per diem za Dola hizo mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji4] na hapo tunalalamik hatuna dola
Nchi inazima Umeme na kuwaka!!! TANZAGIZA. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alafu sisi tumeachiwa nchi inazima umeme na kuwaka, full mateso tu [emoji17]
oya usicheke sio mazuri hayoNchi inazima Umeme na kuwaka!!! TANZAGIZA. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Nimejukuta na nacheka tu ..ila najua siyo mazuri [emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787] hayafurahishi sema yanachekesha kwa kweli...[emoji16]oya usicheke sio mazuri hayo
Eeh namuona kama Mzee Lukuvi kwa mbaali ananyapianyapiaNafikiri atakuwa Sabrina Hamza Sungura! aliwahi kuwa mbunge wa chadema viti maalum nadhani aliamua kuunga juhudi. ni sukari ya wakubwa hiyo.