Baraza la Mawaziri laja lini?

Baraza la Mawaziri laja lini?

Makini

Senior Member
Joined
Dec 23, 2014
Posts
154
Reaction score
59
Habari zenu Wana JF,

Mimi si mjuzi sana wa mchakato mzima wa uteuzi katika nafasi mbalimbali mara baada ya Uchaguzi Mkuu kupita, lakini naona kama vile mara hii imechukua muda sana kwa baraza la mawaziri kuundwa.

Mi naona kama uvumilivu wangu unanishinda vile, nahitaji kweli kuona hao mini tingatingas watakaomsaidia Pombe. Ni lini atawatangaza?
 
Hakuna haja ya haraka, mbona mambo yanaenda kwa kasi? Tumpe muda arekebishe mifumo ya utendaji kazi serikalini ili akiteua Mawaziri wafanye kazi ndani ya mfumo wa uwajibikaji.
 
magufuli ana bana matumizi akitangaza mawaziri saivi gharama zitaongezeka so anasubiri haka kamwezi kaishe ili aanze kuwalipa mwezi ujao
 
Habari zenu Wana JF,

Mimi si mjuzi sana wa mchakato mzima wa uteuzi katika nafasi mbalimbali mara baada ya Uchaguzi Mkuu kupita, lakini naona kama vile mara hii imechukua muda sana kwa baraza la mawaziri kuundwa.

Mi naona kama uvumilivu wangu unanishinda vile, nahitaji kweli kuona hao mini tingatingas watakaomsaidia Pombe. Ni lini atawatangaza?

aachane nalo, lanini hizi njemba nne zinatosha kabisa.
 
magufuli ana bana matumizi akitangaza mawaziri saivi gharama zitaongezeka so anasubiri haka kamwezi kaishe ili aanze kuwalipa mwezi ujao

aachane tu na baraza la mawaziri aende hivyohivyo tupeleke mswada bungeni wa kufuta kabisa mawaziri.
 
Habari zenu Wana JF,

Mimi si mjuzi sana wa mchakato mzima wa uteuzi katika nafasi mbalimbali mara baada ya Uchaguzi Mkuu kupita, lakini naona kama vile mara hii imechukua muda sana kwa baraza la mawaziri kuundwa.

Mi naona kama uvumilivu wangu unanishinda vile, nahitaji kweli kuona hao mini tingatingas watakaomsaidia Pombe. Ni lini atawatangaza?

Wala hakuna haja kwa sasa. Labda atangaze mwezi wa kwanza baada ya kujua mizizi yote ya maovu kwa mawaziri na wabunge waliopita. Tunataka mawaziri wasiokuwa na makandokando maana watamkwamisha jitihada zake. After all mambo yanaenda vizuri kabisa kwa sasa
 
Habari zenu Wana JF,

Mimi si mjuzi sana wa mchakato mzima wa uteuzi katika nafasi mbalimbali mara baada ya Uchaguzi Mkuu kupita, lakini naona kama vile mara hii imechukua muda sana kwa baraza la mawaziri kuundwa.

Mi naona kama uvumilivu wangu unanishinda vile, nahitaji kweli kuona hao mini tingatingas watakaomsaidia Pombe. Ni lini atawatangaza?

Inasemekana bado anatafuta watu waadirifu na wasio na doa wa kumsaidia kazi.
 
Tumalize kwanza mgogoro wa Zanzibar ndo tutafute baraza la mawaziri.
 
ngoja asafishe wizara kwanza...we unahis atampa nan kutoka ccm....mnaowaaminia ndo hao makontena yanapotea chini yao.....
 
Siku za nyuma wakati wanapeana fadhila, lilikuwa linaundwa kabla ya uchaguzi. Mwaka huu ni tofauti. Wanatafutwa watu wa kufanya kazi, sio kupewa fadhila.
 
Hatuwataki hao mawaziri mbona Taifa linakwenda vizuri tu.
 
anawachunguza anaotaka kuwateeua wasije wakakawa majambazi na mizigo
 
Subiri muda ukifika utawasikia kwa sasa endelea kufanya kazi
mambo yanaenda vizuri hadi ngazi za halmashauri siku hizi wakurugenzi wanawahi ofisini kama taratibu zinavyotakiwa
pia waziri mkuu angeongeza kasi kidogo ngazi ya halmashauri naamini tungepiga hatua ya maendeleo kwa kasi nzuri maana halmashauri nyingi ndo kuna uozo wa kupindukia watu wanajifanya miungu watu maofisini na kutafuna fedha za miradi mbalimbali
 
Mawaziri wa nini tena jamani..??
Mbona mambo yanaenda fresh tu..
Afanye kazi na makatibu wakuu wa wizara tu na bunge la Jan/Feb apeleke muswada bungeni wa kufuta rasmi cheo cha waziri.
 
Back
Top Bottom