Baraza la Mawaziri katika serikali ijayo

Baraza la Mawaziri katika serikali ijayo

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,893
Reaction score
36,390
Wasomi Kwa maksudi mmepuuza siasa na hamtaki kugombea, Wacha Sasa mtawaliwe na kuongozwa na mambumbumbu

1. Mh Dj Romy Jons
Waziri wa Katiba na sheria

2 Mh Shilole
Waziri wa Viwanda na uwekezaji

3 Mh Mamy baby
Waziri wa Elimu, Sayansi na Technolojia

4 Mh Baba Revo
Waziri wa Maji

5 Mh Kingwendu
Waziri wa sera, viwanda na uwekezaji

6 Mh Bamboo
Waziri wa miundo mbinu

7. Mh Mwijaku
Waziri wa Afya

8 Mh mc Mboneke
Waziri ofsi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za mitaa

9. Mh Babu Talle
Waziri wa Muungano na mazingira

10. Mh Ndaro
Waziri wa kilimo, mifugo na umwagiliaji

11. Mh Harmonizer
Waziri wa habari,sanaa na michezo

12. Mh Zuchu
Waziri wa Mambo ya nje, kikanda na Africa Mashariki

13. Mh Mtanga
Waziri wa Fedha

13 Mh Hamorapa
Waziri wa Maliasili na utalii
 
Wasomi Kwa maksudi mmepuuza siasa na hamtaki kugombea, Wacha Sasa mtawaliwe na kuongozwa na mambumbumbu

1. Mh Dj Romy Jons
Waziri wa Katiba na sheria

2 Mh Shilole
Waziri wa Viwanda na uwekezaji

3 Mh Mamy baby
Waziri wa Elimu, Sayansi na Technolojia

4 Mh Baba Revo
Waziri wa Maji

5 Mh Kingwendu
Waziri wa sera, viwanda na uwekezaji

6 Mh Bamboo
Waziri wa miundo mbinu

7. Mh Mwijaku
Waziri wa Afya

8 Mh mc Mboneke
Waziri ofsi ya Rais, Tawala za mikoa na Serikali za mitaa

9. Mh Babu Talle
Waziri wa Muungano na mazingira

10. Mh Ndaro
Waziri wa kilimo, mifugo na umwagiliaji

11. Mh Harmonizer
Waziri wa habari,sanaa na michezo

12. Mh Zuchu
Waziri wa Mambo ya nje, kikanda na Africa Mashariki

13. Mh Mtanga
Waziri wa Fedha
Haiwezekani Mh. HARMORAPA hayupo kwenye orodha hii
 
Back
Top Bottom