Toosweet
JF-Expert Member
- May 27, 2012
- 2,140
- 1,982
Kwenu,
Leo tarehe 12 Januari ni kumbukumbu ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Nimekua nikisikiliza habari zinazohusu zinazohusu Serikali ya Zanzibar au Rais wa Zanzibar. Mara zote hutamkwa 'Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi'.
Kama bado wapo wajumbe halisi wa Baraza la Mapinduzi basi ni wazee sana. Hawawezi kuwa na mchango wowote wa ushauri kwa Mwenyekiti wa 'Mapinduzi Matukufu' kama yanavyoitwa.
Hivi kihalisia bado Baraza la Mapinduzi lipo? Lina kazi gani? Karibuni tujifunze kwa wanaojua.
Leo tarehe 12 Januari ni kumbukumbu ya miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Nimekua nikisikiliza habari zinazohusu zinazohusu Serikali ya Zanzibar au Rais wa Zanzibar. Mara zote hutamkwa 'Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi'.
Kama bado wapo wajumbe halisi wa Baraza la Mapinduzi basi ni wazee sana. Hawawezi kuwa na mchango wowote wa ushauri kwa Mwenyekiti wa 'Mapinduzi Matukufu' kama yanavyoitwa.
Hivi kihalisia bado Baraza la Mapinduzi lipo? Lina kazi gani? Karibuni tujifunze kwa wanaojua.