Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,691
Tamko la Baraza la Maaskofu wa CPCT kuhusu mafundisho na matendo ya kuuza na kuvitumia vitu kwa madai vina upako katika kuwahudumia watu kwa maombezi
Baraza la Maaskofu wa CPTC, limekemea vikali matumizi ya vitu ambavyo wanaojiita watumishi wa Mungu, mitume na manabii huviuza kwa Jina la (vifaa vya upako)
kama vile;
- Mafuta
- Chumvi
- Maji
- Udongo
- Vijiti vya kuchokonolea meno
- Soda
- Keki
- Pipi
- Vitambaa
Nimependa Kipengele:
4(d). Ni Utendaji wa uganga wa kienyeji, na hivyo kuwapotoa kutoka kwenye Nguvu za kweli za Mungu na njia ya kweli (2 Wakolintho 2:17).
Baraza la Maaskofu wa CPTC, limekemea vikali matumizi ya vitu ambavyo wanaojiita watumishi wa Mungu, mitume na manabii huviuza kwa Jina la (vifaa vya upako)
kama vile;
- Mafuta
- Chumvi
- Maji
- Udongo
- Vijiti vya kuchokonolea meno
- Soda
- Keki
- Pipi
- Vitambaa
Nimependa Kipengele:
4(d). Ni Utendaji wa uganga wa kienyeji, na hivyo kuwapotoa kutoka kwenye Nguvu za kweli za Mungu na njia ya kweli (2 Wakolintho 2:17).