Baraza jipya la mawaziri

Baraza jipya la mawaziri

Status
Not open for further replies.
masanja, wema sepetu na diamond pia watakuwemo pia kumsahau mbowe,lissu na zitto
 
baba ako mdogo ...... mpigie anaewachagua watuuliza sisi hapa kuna maswala mengi ya kujadili Tembo wanaisha, umeme juu, watu wamebakwa, mabomu makanisani ,elimu mbovu, nk weka mada yenye maana
Nani kuwamo na nani kutokuwamo kwenye baraza jipya ? Asha rose atakuwepo.Mwanri atakuwepo mwingine ni ....
 
Kwani kuna zawadi ukianzisha 'sredi'? Mana kila mtu anataka aanzishe hata km hana cha kuandika.
 
Jamani si anajaribu kubashiri na nyie mpeni sapoti. Kama mim mwanri hana nafasi.mwigulu.makamba.na asha ozy mmojawapo anapata nafasi
 
Shekh yahya angekuwepo tungekushauri uelekeze hii thread huko pole au ulizia mrithi wake!
 
Jacky cliff,masogange agnes,mama maria nyerere, itika daudi mwangosi, julius malema,mzee majuto, charles kimei,haruna moshi na mbwana samatta. Hao hawakosi kwenye baraza lijalo la mawaziri.
 
Kinana apewe uwaziri wa maliasili na utalii na naibu wake awe Mtutura
 
Kinana apewe uwaziri wa maliasili na utalii na naibu wake awe Mtutura
 
Baraza linaendelea kusukwa. litakua imara hata maji hayapenyi

Ni kawaida kila baraza jipya la mawaziri linapotangazwa mawaziri baada ya kuapishwa hutoa ahadi mbalimbali. Uzoefu unaonyesha wengi wao huahidi lakini hawatendi walichoahidi.Muungwana ni vitendo na siyo maneno matupu.Tumechoka na ahadi hewa.
 
Jacky cliff,masogange agnes,mama maria nyerere, itika daudi mwangosi, julius malema,mzee majuto, charles kimei,haruna moshi na mbwana samatta. Hao hawakosi kwenye baraza lijalo la mawaziri.

safi sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom