waungwana husema nyota njema uonekana asubuhi,
kura zinazoendelea ktk gazeti la mwananchi juu ya mitazamo ya watu ya hili baraza jipya la mawaziri hadi sasa wanaoongoza ni wale wanaosema "sijalifurahia kabisa"
nadhani hayo yote ni matokeo ya kuwarudisha mawaziri wengi wa baraza lililopita ambalo lilikuwa kimeo,sasa hao watawatumikia wakina nani iwapo hata kazi hawajaanza na watu hawana imani nao?
kura zinazoendelea ktk gazeti la mwananchi juu ya mitazamo ya watu ya hili baraza jipya la mawaziri hadi sasa wanaoongoza ni wale wanaosema "sijalifurahia kabisa"
nadhani hayo yote ni matokeo ya kuwarudisha mawaziri wengi wa baraza lililopita ambalo lilikuwa kimeo,sasa hao watawatumikia wakina nani iwapo hata kazi hawajaanza na watu hawana imani nao?