LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Mpe mama hongera kwa kujifungua salama na mr. kwa kupata mtotO
Nawashukuru sana wanajf kwa kutupongeza
Mkuu serikali ya magamba si inagawa net bure....lolHongera bandugu. Sasa wekezeni kwenye kumkinga mtoto dhidi ya Malaria kwani hiyo kitu ni hatari kuliko tunavyojua. Mbarikiwe.
hongera zao
ni raha na baraka kuwa mzazi
hasa kama umekusudia[/QUOTE??]
Na kama hawajakusudia je?!
Hongereni sana, Mungu awakuzie malaika wenu.
Wafikishei hongera zao waambie hiyo ni sehemu tu ya majukumu. kazi ndo inaanza sasaUsiku wa kuamkia leo Member mwenzetu Karachuonyo amepata Baraka ya mtoto wa KIUME ktk hosptali ya Saint Thomas hapa Arusha mjini na Mama na mtoto wanaendelea vizuri kbs! Hongera sana Mr & Mrs Karachuonyo!