Huyu kijana nimekuwa nikiona watu wengi wakimdiss lakini sasa naamini baada ya kutokwa povu na kummind Stan Bakora kisa kucreate cover video ya wimbo wake na kujipaka masizi usoni kutengeneza uhalisia wa weusi wa Baraka. Stan ni mchekeshaji kama walivyo wengine kina Mpoki, nk ambao wamekuwa wakiwaigiza watu tofauti tofauti katika hali ya utani. But huyu dogo amemind na kumchana jamaa wazi wazi katika instagram yake.
Mbona mond amesemwa saaaanaaa wamemuita kila aina ya majina mara domo mara ooh kinywa mara Wamuedit mdomo wake lakn sijasikia hata siku moja akamaind kwl mond ni star