Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Halafu hawa hawa Waisrael ndio baadhi ya Watanzania wanawapapatikia kuwa ni "taifa la mungu". bs.
hata nashangaa eti watu wanasema Tanzania ni nchi wakati ndani yake kuna mamlaka imebadili katiba, ikataja mipaka yake mipya, ikampa nguvu kiongozi wao na kuzinyang'anya za yule rais wa muungano, zikajiongezea viongozi wasiotambuliwa na katiba na kuilazimisha serikali ya muunganno kuwatambua na kuawapa heshima hao kama viongozi wa kitaifa.
Baada ya kudhalilika hivi bado nchi hii inataka kutambulika kama nchi na kupewa heshima sawa na nchi zinazojitambua.