GodfreyTajiri
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 986
- 655
huyu barak aache dharau za kijinga kwani hata wao hawana msaada wowote kwetu.huwezi ukalinganisha umuhimu wa US,UK,SCANDINAVIAN COUNTRIES,CHINA kwa Tanzania ukilinganisha na Israel hivyo kama vipi watupotee tu na hatuwahitaji.Ngoja tuanze kuwaita Iran waje wavune Uraniaum ndo watajua umuhimu wetu kwao.
kweli eudi aache kashfa.
hivi siku kiongozi wa tanzania wa ngazi sawa na eudi akisimama na kuikana "holocaust" huyo eudi na taifa lake
watanyamaza na kusema kwamba hawajali kwa sababu kiongozi huyo ni wa nchi "irrelevant"? eudi amepotoka.
je kama myhem anavyosema, tanzania ikiwaalika wairani waje "kuvuna" uranium tuliyonayo, kweli huyo eudi
atakaa kimya kwa vile tanzania ni "irrelevant"? kweli eudi amepotoka.
eudi amepotoka zaidi katika nyanja ya kidiplomasia, kwani kiongozi wa ngazi yake anatakiwa awe makini
katika lugha anayotumia na mifano anayoitoa kuhusiana na nchi nyingine. nasema eudi amepotoka.
katu siwezi kufurahia nchi yangu kudharauliwa hata kama nina "issues" na watawala wa nchi yangu. eudi, amepotoka, amepotoka, amepotoka .... dah!