Barafu

Barafu

Ramso11

Member
Joined
Jun 5, 2011
Posts
62
Reaction score
22
Baba mkwe mmoja kutoka bush alingia mjini. Akakuta wajukuu zake wanagombania barafu .akawapora akijua labda ni ndio almasi akauze. akaweka katika mfuko. Baada ya muda wakiwa pamoja. Watoto wakasema baba si unasema sisi vikojozi mbona baba yako amejikojokea mchana mbele yetu. Yule mzee akakimbilia chumbani akakuta maji yanachuruzika. Na suruali imeloa akabadili. Alhporudi watoto wakasema sisi tukikojoa kitandani tunaogja na kubadili nguo mbona babu umejikojolea ukavaa nguo hizo hizo. Babu akaona aibu. Akaondoka bila ya kuaga alipofika kwa mtoto mkubwa akamweleza kisa. Mtoto wake mwanga haibiwi kimsifia Akaambiwa yaani unaiba hadi maji hapa si utatuua . Akaenda kwa mtoto mwingine kesho tutaendelea .
 
Unga udugu namasanja you can gain idea za kuchekesha, Mmh mmh!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom