Barack Obama lied about Osama death

Barack Obama lied about Osama death

bwana weee mpaka nahisi kusinzia, ila ukweli mmoja tu jamaa kadanjaaa :tonguez:
 
Wale wataalamu wa kugundua propaganda njooni hapa mtusaidie, make mmezoea kuja hapa na kusema 'western propaganda' basi tuambie na hii ni aina gani ya propaganda?
 
duh! huu ni utenzi wa historia ya kifo cha Osama au ni habari tu?
 
Duh!nimeimaliza ila maswali ni mengi kuliko majibu coz kama ndege ziliwezaje kuingia bila jeshi la Pakistan kujua kama hawakushirikishwa.Nadhani kuna wakuu wa jeshi la Pakistan walikuwa wanajua.Hata mazishi yake nayo utata mtupu haijakaa sawa .
 
Kumbe we mjomba hujui kuwa story nyingi za kiingereza zinazoletwa hapa ni za kukopi kutoka kwenye mitandao mingine, hii story mi nimeshatumiwa tangu juzi kwenye yahoo story
Jitaidi uwe na smart phone utapata habari zote za duniani kwa wakati
 
Back
Top Bottom