Barabara ya Tabata Kimanga ni mbovu sana

Barabara ya Tabata Kimanga ni mbovu sana

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
40,801
Reaction score
46,925
Baada ya kuona kasi kubwa ya utekelezaji wa miradi mbali mbali ya barabara nchini Tanzania na hasa Dar es salaam, nimeshtushwa mno na hali mbaya na ya kutisha ya barabara ya Tabata Kimanga kuelekea kituoni mwisho, nikajiuliza hivi hii Kimanga ni sehemu ya Tanzania au ina rais wake mwingine mzembe mzembe? Kwa mwenye yaarifa zaidi
 
Acha ulimbukeni wewe, nenda mikoan uone barabara za kutisha.. kimanga hapana hali mbaya kiasi hicho, dar hii hii kuna maeneo barabara hazifai. Nenda tegeta ukaone barabara za kutisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii barabara inatia aibu mno, ni mbaya kuliko ilivyikuwa ile ya St.mary's, ni aibu tupu, itengenezwe!
 
Kwanza jiulize mwenyewe na hizo barabara zako,jee mpo Kenya?
 
Mkuu kwanzia hapo DONI hadi KIMANGA MWISHO sio poa kabisa, bampa zetu zinang'ooka sana cjui panashindikanaje na ni kipande kifupi tu
 
Wale machangu wa Sinza wote wamehamia Tabata, totoz nzuri nzuri nazo zimehamia...Tabata oyeee.
 
Acha ulimbukeni wewe, nenda mikoan uone barabara za kutisha.. kimanga hapana hali mbaya kiasi hicho, dar hii hii kuna maeneo barabara hazifai. Nenda tegeta ukaone barabara za kutisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Tegeta ipi mkuu? Hebu weka mfano wa barabara ya Tegeta inayofanana na hiyo ya Kimanga?
 
Tena ni afadhali walivyoing'oa lami. Ile lami ilikuwa na mahandaki yani ukipakiza mja mzito mwenye mimba ya miezi saba lazima azae...
 
Back
Top Bottom