Barabara ya tabata chang'ombe yakwanguliwa

Barabara ya tabata chang'ombe yakwanguliwa

unanitaka

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2014
Posts
2,178
Reaction score
1,046
Hivi karibuni bonge wa clouds fm aliizungumzia barabara inayotoka barakuda kwenda chang'ombe tabata kuwa mbovu yenye mashimo had daladala zimekatisha safar za kwenda huko kwa miaka mingi. Big up bonge barabara walau imekwanguliwa na sasa mashimo yamepungua. Ila sasa hatujui je itaachwa mpaka iwe na mashimo tena wakat huko kuna wakazi wengi sana wanaohitAj usafir wa daladala ila wamekosa kutokana na wenye magar kuogopa mashimo
 
Back
Top Bottom