Shakala
Member
- Sep 30, 2024
- 13
- 11
Imepita miaka kibao wakazi tunaotumia hii barabara tumekua tukidanganywa juu ya ujenzi wake kwa kiwango cha lami mpaka tumechoka,tangu enzi za mbunge madeje mpaka huyu mavunde kila awamu wameitumia kuombea kura lakini matokeo yake wanaishia kupitisha greda na kumwaga vimaji...baada ya wiki mbili rasta na vumbi linarudi pale pale.hombolo kuna high school,kituo cha afya,viwanda vya wine,mashamba ya zabibu,bwawa la samaki,chuo cha serikali za mitaa lakini cha ajabu tunatumia mabasi yenye kunguni ndani na mabovu haswa.Serikali ni muda sasa muijenge kiwango cha lami gharama ya nauli ipungue, imagine kufika mjini(50km) nauli inafika 5000 halafu gari zimechoka