Barabara ya Bumbuli jimboni kwa January Makamba

Barabara ya Bumbuli jimboni kwa January Makamba

NOT FOUND

Senior Member
Joined
Mar 14, 2011
Posts
158
Reaction score
59
UPDATE: MAY 2023
Hii thread ni ya tangu Mwaka 2014, miaka 9 iliyopita hadi leo 2023 barabara hali ni mbaya, pamoja na ahadi ya kuweka lami kipande hicho cha kilomita 21, ila hadi leo hakuna kilichofanyika, na hii ndio hali halisi wanayoishi wananchi wa Bumbuli.



Natoa rai kwa ndugu yetu makamba. Kabla hujafikiria kugombea uraisi wa Tanzania hakikisha kwanza hii barabara na matatizo mengine ya Bumbuli yamepatiwa ufumbuzi vinginevyo hata huo Ubunge hatukupi tena, haiingii akilini kutaka kuongoza nchi kama jimbo pekee limekushinda.

attachment.php




attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • IMG-20141104-WA0056.jpg
    IMG-20141104-WA0056.jpg
    232.4 KB · Views: 3,938
  • IMG-20141103-WA0048.jpg
    IMG-20141103-WA0048.jpg
    208.7 KB · Views: 4,034
  • IMG-20141104-WA0054.jpg
    IMG-20141104-WA0054.jpg
    199.5 KB · Views: 4,085
Natoa rai kwa ndugu yetu makamba. Kabla hujafikiria kugombea uraisi wa Tanzania hakikisha kwanza hii barabara na matatizo mengine ya Bumbuli yamepatiwa ufumbuzi vinginevyo hata huo Ubunge hatukupi tena, haiingii akilini kutaka kuongoza nchi kama jimbo pekee limekushinda.


Yaani hili ni JIMBO JIPYA halina hata MIAKA 15; Lilianzishwa na Mzee Shelukindo; Sasa unataka liwe na kila kitu sababu tu MAKAMBA ni MBUNGE?

What a JOKE... inaonyesha ni baadhi ya sisi wananchi ndio tumechoka hatujui Maendeleo ni nini



c.c NOT FOUND
 
Yaani hili ni JIMBO JIPYA halina hata MIAKA 15; Lilianzishwa na Mzee Shelukindo; Sasa unataka liwe na kila kitu sababu tu MAKAMBA ni MBUNGE?

What a JOKE... inaonyesha ni baadhi ya sisi wananchi ndio tumechoka hatujui Maendeleo ni nini



c.c NOT FOUND

Mkuu nngu007
Sitaki kuamini kama uwezo wako wa kufikiria umefikia hapo, wewe unavyoona hiyo bara bara huoni kunahitajika kitu kifanyike? So kigezo chako ni miaka 15, real? :sad:
 
Last edited by a moderator:
Lakini serikali inayoongoza nchi sindio chama chake na waliwaahidi wananchi kumaliza matatizo nahilo likiwa mojawapo?,jimbohilo lingekuwa laupinzani tungejua sababu.Pesa alizoiba na ukoo wao mafisadi siatengeneze? Anyway watu wa Bumbuli acha yawakute ndio madhara yakuhongwa wali maharage
 
Mkuu nngu007
Sitaki kuamini kama uwezo wako wa kufikiria umefikia hapo, wewe unavyoona hiyo bara bara huoni kunahitajika kitu kifanyike? So kigezo chako ni miaka 15, real? :sad:

Majimbo Mengi tena ya zamani yana issue kama hiyo sio tu BUMBULI ya MGOMBEA URAIS... Ndugu yetu NOT FOUND
 
Yaani hili ni JIMBO JIPYA halina hata MIAKA 15; Lilianzishwa na Mzee Shelukindo; Sasa unataka liwe na kila kitu sababu tu MAKAMBA ni MBUNGE?

What a JOKE... inaonyesha ni baadhi ya sisi wananchi ndio tumechoka hatujui Maendeleo ni nini



c.c NOT FOUND

Kwa hiyo wewe unataka hadi miaka mingapi ndio maendeleo kwa maana ya ubora wa barabara yaonekane? ndio maana CCM hata baada ya miaka 50 wanaona nchi bado changa kupata maendeleo yanayoonekana!
 
Mkuu nngu007
Sitaki kuamini kama uwezo wako wa kufikiria umefikia hapo, wewe unavyoona hiyo bara bara huoni kunahitajika kitu kifanyike? So kigezo chako ni miaka 15, real? :sad:

NOT FOUND Sifa yake kubwa ni nini ? very UnEthical... that tells all about our hereditary President or Presidents to be....
 
Big Results Now ya chama cha wahuni. Kuleta maendeleo kwenye jimbo lake ameshindwa halafu anataka kuwa Rais!!! Ala professor Kikwete style.
 
Yaani hili ni JIMBO JIPYA halina hata MIAKA 15; Lilianzishwa na Mzee Shelukindo; Sasa unataka liwe na kila kitu sababu tu MAKAMBA ni MBUNGE?

What a JOKE... inaonyesha ni baadhi ya sisi wananchi ndio tumechoka hatujui Maendeleo ni nini



c.c NOT FOUND

Sasa suala la kuanzishwa jimbo na maendeleo ya wananchi kuna uhusiano fani? Una maana jimbo likianzishwa na hivyo watu wanaanzishwa? hivyo hawahitaji barabara mpaka miaka 50 ipite? Sasa kulikuwa na haji gani ya kuanzisha jimbo iwapo unasubiria nature?
 
Natoa rai kwa ndugu yetu makamba. Kabla hujafikiria kugombea uraisi wa Tanzania hakikisha kwanza hii barabara na matatizo mengine ya Bumbuli yamepatiwa ufumbuzi vinginevyo hata huo Ubunge hatukupi tena, haiingii akilini kutaka kuongoza nchi kama jimbo pekee limekushinda.


Mkapa alitatua matatizo yote Masasi? Alikuwa mbunge miaka mingapi?

Kikwete alitatua matatizo yote ya Chalinze na Bagamoyo? Alikuwa mbunge miaka mingapi?

Lowassa amemaliza shida zote za Monduli? Amekuwa mbunge miaka mingapi?

Pinda, Membe wote wamemaliza umaskini majimboni kwao na barabara zote safi?

Mbowe amemaliza shida zote za Hai? Au Dr Slaa amemaliza kero zote za Karatu?
 
Mkapa alitatua matatizo yote Masasi? Alikuwa mbunge miaka mingapi?

Kikwete alitatua matatizo yote ya Chalinze na Bagamoyo? Alikuwa mbunge miaka mingapi?

Lowassa amemaliza shida zote za Monduli? Amekuwa mbunge miaka mingapi?

Pinda, Membe wote wamemaliza umaskini majimboni kwao na barabara zote safi?

Mbowe amemaliza shida zote za Hai? Au Dr Slaa amemaliza kero zote za Karatu?

Kwa sababu HAO ulio wataja hapo juu HAWAKUMALIZA matatizo ya wapiga kura wao kabla hawajachukua madaraka ya juu basi UME JUSTIFY hata Makamba asipo tatua matatizo ya wana Bumbuli is OK?

Nilikuwa Bumbuli ukweli ni kuwa Makamba ni mzuri sana kwenye kuongea lkn utekelezaji ni bure kabisa!Ahadi zake zote hata kuimarisha bei ya chai kashindwa kuitekeleza!

Baraka Shelukindo akichukua form anamuangusha Makamba easily tu kura za maoni CCM ingawaje sasa kuna "mazungumzo yanafanywa" ili Baraka asichukue form
 
Majimbo Mengi tena ya zamani yana issue kama hiyo sio tu BUMBULI ya MGOMBEA URAIS... Ndugu yetu NOT FOUND

Two wrongs don't make a right. Kwa vile kuna majimbo mengi ya zamani yana barabara mbaya zaidi ya hiyo, haihalalishi barabara za Bumbuli kuwa na barabara mbaya. And by the way, Bumbuli imeletwa kama mfano kwa vile Mbunge wake anataka kugombea urais. Simple logic ni kwamba charity begins at home. Kama ameshindwa kuwaletea maendeleo wanajimbo wake atawezaje kwa taifa?
 
Mkapa alitatua matatizo yote Masasi? Alikuwa mbunge miaka mingapi?

Kikwete alitatua matatizo yote ya Chalinze na Bagamoyo? Alikuwa mbunge miaka mingapi?

Lowassa amemaliza shida zote za Monduli? Amekuwa mbunge miaka mingapi?

Pinda, Membe wote wamemaliza umaskini majimboni kwao na barabara zote safi?

Mbowe amemaliza shida zote za Hai? Au Dr Slaa amemaliza kero zote za Karatu?

Hii ndio mentality ya Mtanzania msaka tonge. Always settling for less. Always trying to defend the indefensible...kisa NJAA. Ubovu wa Mkapa si uimara wa January. Mapungufu ya Kikwete si umahiri wa January. Uzembe wa Lowassa si ubora wa January. Suala si waliotangulia WAMEBORONGA PIA bali MTARAJIWA AMEFANYA LIPI la kumfanya awe sahihi au tofauti na hao ulowataja.
 
The Tanzania National Roads Agency (TANROADS) is an Executive Agency under the Ministry of Works, established under section 3(1) of the Executive Agencies Act (Cap 245) and came into operation in July, 2000. The Agency is responsible for the maintenance and development of the trunk and regional road network in Tanzania Mainland

Classified Road Network
The total classified road network in Tanzania Mainland is estimated to be 86,472 km based on the Road Act 2007. The Ministry of Works through TANROADS is managing the National road network of about 33,891 km comprising 12,786 km of Trunk and 21,105 km of Regional roads. The remaining network of about 53,460 km of Urban, District and Feeder Roads is under the responsibility of the Prime Minister’s Office Regional Administration and Local Government (PMO-RALG).

The National Road Network
The National Road Network consists of:

  • Trunk roads 12,786 km out of which 5,130 km are paved and 7,656 km are unpaved.
  • Regional Roads: 21,105 km out of which 840 km are paved and 20,265 km are unpaved.

http://www.tanroads.org/
Badala ya kwenda kuwauliza TANROADS mnamuuliza January haya sasa ndio matatizo. Au labda tumezoea kufanya mambo bila ya taratibu si ndio hoja ya January hiyo.

Kwa utaratibu huu mwishowe tutawauliza watu wamungu mbona majumba yao ya ibada ayajai kisa mtaa unawaumini wasioudhuria Ibada.
 
Badala ya kwenda kuwauliza TANROADS mnamuuliza January haya sasa ndio matatizo. Au labda tumezoea kufanya mambo bila ya taratibu si ndio hoja ya January hiyo.[/FONT][/COLOR]
[/LIST]
kazi ya mwakilishi wa wananchi nini? Inamaana kila mwananchi aende tanroad kuuliza? Basi haina maana ya kuwa na mwakilishi Pambaf wewe
 
Back
Top Bottom