Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,022
- 1,305
How?Photoshop
Sasa na wewe umeamini hiyo picha? Photoshop inaweza kuchukua kichwa chako wakakipachika kwa trump ndio unashangaa artwork dhaifu kiasi hicho? Kwa kukusaidia tu, kibailojia mti lazima utaota kwa kwenda juu hata kama kuna slope kubwa kiasi gani, sasa uliona wapi mimea ikaota kwa kuelekea kushoto/kulia.How?
Qwi qwi qwi,Eti jamaa nae kaamini ni kweli kabisa..Aise tuna kaz sanaSasa na wewe umeamini hiyo picha? Photoshop inaweza kuchukua kichwa chako wakakipachika kwa trump ndio unashangaa artwork dhaifu kiasi hicho? Kwa kukusaidia tu, kibailojia mti lazima utaota kwa kwenda juu hata kama kuna slope kubwa kiasi gani, sasa uliona wapi mimea ikaota kwa kuelekea kushoto/kulia.
ndio..... si iyo hapo pichaniMmmh kunabarabara ya ivo kweli?
How?