Barabara Jangwani yajaa maji, yafungwa

Barabara Jangwani yajaa maji, yafungwa

March 19, 2020
Dar es Salaam, Tanzania.

Barabara Jangwani jijini Dar es Salaam Tanzania yajaa maji, yafungwa. Ingawa mvua haijanyesha leo lakini eneo hilo lililo katika ya vitongoji maarufu vya Magomeni na Kariakoo jijini Dar es Salaam hali imekuwa tete ktk bonde hilo la Jangwani.


Source : ITV Tanzania

Mungu hajaribiwi wala hadhihakiwi kama kweli ningekuwa na fedha ningelijenga daraja jipya kwa ajili sina fedha na nili lazimika kuweka mradi eneo ambalo siyo inabidi haya yanayo tokea yatokee. Haina shida ni upepo tu nao utapita
 
March 19, 2020
Dar es Salaam, Tanzania.

Barabara Jangwani jijini Dar es Salaam Tanzania yajaa maji, yafungwa. Ingawa mvua haijanyesha leo lakini eneo hilo lililo katika ya vitongoji maarufu vya Magomeni na Kariakoo jijini Dar es Salaam hali imekuwa tete ktk bonde hilo la Jangwani.


Source : ITV Tanzania

Kwi! Kwi! Kwi!
 
March 19, 2020
Dar es Salaam, Tanzania.

Barabara Jangwani jijini Dar es Salaam Tanzania yajaa maji, yafungwa. Ingawa mvua haijanyesha leo lakini eneo hilo lililo katika ya vitongoji maarufu vya Magomeni na Kariakoo jijini Dar es Salaam hali imekuwa tete ktk bonde hilo la Jangwani.


Source : ITV Tanzania

Kuna mtu anadiriki kuwaita wenzake wapumbavu wakati na yeye alijenga majengo kwenye mkondo wa mto
 
Mainjia watakua wapumbavu labda
Shithole engineers. Hakuna serious engineer ktk nchi hii. Mimi naweza kushauri Jangwani pajengweje japo sio engineer. Ma engineer gani mara barabara yenye umuhimu kama Dom Dar
au Magomeni Muhimbili inafungwa halafu nchi inasema ina ma injinya. Shithole.
 
March 19, 2020
Dar es Salaam, Tanzania.

Barabara Jangwani jijini Dar es Salaam Tanzania yajaa maji, yafungwa. Ingawa mvua haijanyesha leo lakini eneo hilo lililo katika ya vitongoji maarufu vya Magomeni na Kariakoo jijini Dar es Salaam hali imekuwa tete ktk bonde hilo la Jangwani.


Source : ITV Tanzania

ila sometime akili za viongozi wetu zinachanganya sana,hivi kuna umihimu gani wa daraja la ubungo halafu barabara ya jangwani ni tatizo?
 
Hawa Lumumba ni kama sie tu!
Tunajimwambafy kwa jerojero na mia mbili mbili za misukule wakati chama kinalamba mamilioni ya ruzuku kila mwezi hata kaofisi hatujajenga.
Tuko katika ulimwengu wa kidigitali, ofisi sio hitaji la msingi
 
Back
Top Bottom